Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa waambie sababu ya kuhangaika na wale wa maria space,na wale wa jamhuri ya tweeter na majukwaa mengine kabambe ya kijamii ni matokeo ya mambo yao ya hovyo na kutozingatia sheria,Katiba na tamaduni za jamii zilizostaarabika.Tupo busy tunajitia moyo "USHINDI NI NJE NJE"
Kwa asilimia kubwa lengo la chama tawala ccm kupitia nyenzo zake yaani police na mahakama wamefanikiwa kwa asilmia 100% hadi tunavyoongea kuweka mada ya katiba mpya nyuma ya wakati.
That was all about.
Kujiaibisha kote huko unaita ushindi.. shahidi hata kujieleza akaeleweka hamna kitu useless!!Tupo busy tunajitia moyo "USHINDI NI NJE NJE"
Kwa asilimia kubwa lengo la chama tawala ccm kupitia nyenzo zake yaani police na mahakama wamefanikiwa kwa asilmia 100% hadi tunavyoongea kuweka mada ya katiba mpya nyuma ya wakati.
That was all about.
Tupo busy tunajitia moyo "USHINDI NI NJE NJE"
Kwa asilimia kubwa lengo la chama tawala ccm kupitia nyenzo zake yaani police na mahakama wamefanikiwa kwa asilmia 100% hadi tunavyoongea kuweka mada ya katiba mpya nyuma ya wakati.
That was all about.
Kama kweli we ni mwanaCCM ubarikiwe kwa uelewa huo na kesho kama wewe ni mkristo katoe sadaka ya shukrani kanisani.Ila sisi kama ccm original tunasema kabisa sisi ndio tunajipotezea muda.
"How fortune for a government to rule the fools"Mkuu unapoteza muda wako bure kuandika utumbo hapa jukwaani. Si Lisu, Lema wala Mnyika atakaekupongeza kwa kuandika utumbo huu. Hata mwenzio Mmawia ambae ni maarufu ufipani na hapa JF alikuwa kinara wa kuandika utumbo na kulamba viatu vya mtoto wa Mbowe, lkn leo kaona haina maana na kuamua kukaa pemben maana aliekuwa anamlipa ndio huyo ananyea debe segerea.
View attachment 1943931
AMENKama kweli we ni mwanaCCM ubarikiwe kwa uelewa huo na kesho kama wewe ni mkristo katoe sadaka ya shukrani kanisani.
Katiba mpya ni kama kifo haikwepeki mwakani mchakato wa kuiandika unaanza .