Dharra
JF-Expert Member
- Jun 23, 2017
- 1,661
- 2,931
Kaka mkubwa GuDume simu hizi zimekuwa na changamoto kubwa mku. Mi binafsi nishasuluhisha magomvi mengi kwa sababu simu. Kaka wewe imagine Boss mmoja maarufu mjini ako na simu mbili moja anaitumia kwa mahawara tu na daima hajawahi hata siku moja kuichukua home anaifungia kwenye drooo utadhani mule kwenye droo anahifadhi mamilioni lakini vijana wa leo hawataki kujifunza yaani wee acha tu