project planner
JF-Expert Member
- Jul 8, 2019
- 1,166
- 1,532
Natumaini hamjambo na mnaendelea vizuri na mapambano ya Corona tumwombe mola atatusaidia.
Niende kwenye mada ni wiki mbili zimepita tangu niibiwe simu yangu na vibaka sikutaka kuifuatilia kwa sababu nilijua itakuwa wamesha flash ila baada ya siku mbili tu nikaanza kupokea sms ambayo inasomeka hivi
"dear mobile customer: your mobile is used by the IMEI no 6400211******** in case your mobile lost or stolen please inform concerned authorities about this "
Sasa naomba kujua hii sms inatoka wapi maana mtumaji wa sms Ni namba yangu na mpokeaji Ni namba yangu pili natakiwa nifanyaje ili kuipata simu au haiwezekani kuipata Tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende kwenye mada ni wiki mbili zimepita tangu niibiwe simu yangu na vibaka sikutaka kuifuatilia kwa sababu nilijua itakuwa wamesha flash ila baada ya siku mbili tu nikaanza kupokea sms ambayo inasomeka hivi
"dear mobile customer: your mobile is used by the IMEI no 6400211******** in case your mobile lost or stolen please inform concerned authorities about this "
Sasa naomba kujua hii sms inatoka wapi maana mtumaji wa sms Ni namba yangu na mpokeaji Ni namba yangu pili natakiwa nifanyaje ili kuipata simu au haiwezekani kuipata Tena
Sent using Jamii Forums mobile app