Pole sana brother! Naomba namba nami kufikia Jumamosi japo nikuchangie kidogoAhsante sana na ikawe hivyo mpendwa
Nashukuru sana kaka kwamsaada wako mchango wako unamaana sana ndugu yangu hasa kwahuyu mama anaenyonyesha halafu anaumwa anahitaji lishe japo sijamuona ingekuwa mambo ya chakula tungesema wapambane nakuomba ndugu yangu nawengine mliojitoa kwaajiri yafamilia hii najua mmefanya hivo kwakuwa namiayo yakutoa kutoa hela kwamtu usiemjua inataka moyo hasa kwadunia hii naomba tuendelee kusaidia kwachochote hakuna kidogo kwenye mazingira haya ukipenda kuwasiliana na mm no yangu iko hapoPoa kaka! Maisha ni changamoto sana! Nimeweza kumcheki msela! Nimechangia pia! Mungu ampe nguvu avuke kwenye hili!
Nashauri uzi wake uambatanishwe na namba yake WENGINE sadaka zetu tumeacha kuzipeleka kwenye minada mshenzi ya KANISANI yaani eti kuku anashindanishwa bei mpaka ananunuliwa kwa laki saba huku mtaani kwako kuna mtu hajui atakula nini.?Nawashukuru wote mliojitoa kumsaidia huyu ndugu mmefanikisha mgonjwa amepata matibabu nimefanikiwa kuonana nae tumezungumza mengi niwatoe wasiwasi juu yahuyu ndugu nimuhitaji kwasasa
Nashukuru mkuu hata kwakumtia moyo no ataweka ili walau tumtoe kwenye kuuguliwaNashauri uzi wake uambatanishwe na namba yake WENGINE sadaka zetu tumeacha kuzipeleka kwenye minada mshenzi ya KANISANI yaani eti kuku anashindanishwa bei mpaka ananunuliwa kwa laki saba huku mtaani kwako kuna mtu hajui atakula nini.?
Pili serikali iangalie hasara zitokanazo na kodi na tozo kwenye kampuni binafsi matokeo yake watu waliokuwa wanategemewa na familia wanarudi mtaani kwa sababu kampuni zina incur loss alafu unalikuta li mwanasiasa linasifia kama mwehu eti KIPATO CHA MTANZANIA KIMEPAA,mara uchumi wa kati ,mara nchi ya uchumi wa viwanda,lingine utasikia linasema eti sector binafsi zimeimarishwa wahitimu wengi wamepata ajira kuliko awamu zote.Yaani kuna mavitu yanaendelea nchini unaweza shika rungu upasue TV kwa hasira.
Kaka mtoa mada nakushauri usikate tamaa hata mimi nilipitia wakati mgumu mimi na mchumba angu tulikuwa watu wa stress mpaka (mchumba enzi hizo)mke wangu akapata vidonda vya tumbo mimi nilikonda uso wangu ulikuwa kama shoka yaani nilikuwa naonekana kama DAZBABA yule wa DAZNUNDAZ (Ila leo MUNGU ni mwema mwonekano wangu unashangaza ukilinganisha na waliokuwa wananijua) in short tulitiana MIMBA na huyu mke wangu(mchumba wangu wa enzi hizo) akafukuzwa kwao tukiwa bado tupo chuoni nilisoma kwa stress mpaka nikachukia chuo anyway kaza usiwe na mda wa kulalamika jitahidi uwe na muda wa kukimbizana na life kuna sehemu utagusa patatick na utashangaa. MUNGU AKUTIE NGUVU MAPITO NI FUNZO TUSIYACHUKIE WALA KUYAOGOPA.KUYACHUKIA NA KUYAOGOPA KUNAYAPA NAFASI ILI YAKUADHIBU IPASAVYO.
Nimeonana naye jana -jamaa ana uhitaji serious kabisa.Nawashukuru wote mliojitoa kumsaidia huyu ndugu mmefanikisha mgonjwa amepata matibabu nimefanikiwa kuonana nae tumezungumza mengi niwatoe wasiwasi juu yahuyu ndugu nimuhitaji kwasasa
Nakushukuru ndugu yangu kwamda wako mungu akubariki sana naomba tushirikiane tumtoe hapo alipo nitashukuru mkuu kama nitapata mawasiliano yako nduguNimeonana naye jana -jamaa ana uhitaji serious kabisa.
...the good thing yuko imara kiafya na kiakili pia...Mungu mkubwa yatapita.
Nashukuru mkuu kwaniaba yake tushirikiane kadiri mtakavojaliwa tumuokoe huyu mzazipole sana mkuu najua maumivu unayo pitia kwani nilipitia hiyo hali
Sijui cm yako ina thaman gani, lakini km ningekuwa mm nipo katika hali hiyo ningeuza cm nipate mtaji wa biashara ya kuuza mahindi ya kuchoma Dar inalipa na mtaji ni mdogo ni kupata sehemu tu hasa mitaa ya watu wengi au barabarani.
Au hata biashara ya kuuza maji ya kufunga (sijui km bado ipo). Kwa kifupi DSM fursa nyingi sana na ukiwa sio mvivu utatok
Wazo la mahindi ni zuri sana,mahindi pale mawasiliano Bei ya jumla Mhindi mmoja ni Tsh 100 ili ukuze mtaji unaweza ukaanza na ya kuchemsha tu.Kwa kujibana hata 30,000 unaanza nayoNashukuru mkuu kwamoyo huo mm pia nifundi ila kwasasa sina kazi yakueleweka ila kuna mtu alitoa wazo achome mahindi ila tatizo ni mtaji ambao ni kama 60000 niwaombe wadau kama kuna mwenye chochote tufanikishe hili
Nikweli mkuu ila hata ingekuwa 20000 huyu ndugu hana kuna watu wamejitoa sana kuhangaikia hili ila kwasasa tunajaribu kuangalia matibabu ya huyu mama kama unavojua mtu anaetoka kwenye mambo yauzazi kilichopatikana kimeishia hospitali hata hivo nashukuru kwa wazo lakoWazo la mahindi ni zuri sana,mahindi pale mawasiliano Bei ya jumla Mhindi mmoja ni Tsh 100 ili ukuze mtaji unaweza ukaanza na ya kuchemsha tu.Kwa kujibana hata 30,000 unaanza nayo
Yeah ni jambo jema sanaNawashukuru wote mliojitoa kumsaidia huyu ndugu mmefanikisha mgonjwa amepata matibabu nimefanikiwa kuonana nae tumezungumza mengi niwatoe wasiwasi juu yahuyu ndugu nimuhitaji kwasasa
Nashukuru kwaniaba yake chakufurahisha kiakili yuko viZuri sana hajafikia kuchanganyikiwa tumsaidie ndugu zangu msaada anaohitaji sio mkubwa sana kikubwa nihuyu mamaMwanaume mwenzangu pole na changamoto, utavuka tu...zaidi ya yote umekuwa wazi kueleza hapa naamini bado kama wanaume tunaweza mtoa mwenzetu sehemu alipo. Nakutia moyo simama imara na hili litapita.
Nichukue nafasi hii kuwashukuru nyote katika changamoto yangu ngumu sana nayopitia.Niko Mbezi hapa Dar nimepanga chumba kimoja nina mke na mtoto mmoja mchanga. Ingawa haukuwa wakati sahihi wa kuishi na mke ila kwakuwa ilitokea akabeba ujauzito na hakuwa na namna nyingine ya kuishi ikabidi tu niishi nae.
Nilikuwa nafanya kazi mahali kwa mtu ambapo nilikuwa nikilipwa kwa mwez ingawa malipo yalikuwa kiduchu sana. Wakati huo mke baada ya kubeba ujauzito alipokuja tuishi wote akawa anajishughulisha na kazi ndogo ndogo za kutembeza mboga za majani.
Baadae nilipokuwa nafanya kazi kulingana na hali ya biashara kuwa mbaya tulipunguzwa baadhi ya wafanyakazi wa pale na mimi nikiwa miongoni mwao. Na ni tangu mwezi wa 1 mwanzon mwaka huu.
Tangu hapo maisha yakaanza kuwa magumu ikanibidi sasa niwe natoka asubuhi nyumbani kwenda huko kutafuta vibarua vya kufanya. Maisha yameendelea hivo hivo kwa kupata na kukosa maana c kila siku utafanikiwa kupata kibarua.
Sasa hivi navyoandika hapa mke wangu anaumwa na mtoto tuliye nae ni mchanga sana na mimi hii inaenda kuisha wiki kila nikitoka sipati kibarua.
Nawaza sana sijui chakufanya ingawa wapo wanaonishauri kuitelekeza familia yangu lkn ni kitu ambacho sifikirii hata kidogo na siwezi kukifanya maana nampenda sana mke wangu na mtoto wetu.
Naombeni ushauri wenu na msaada wenu nifanye nini katika huu wakati mgumu nilionao. Ambao mm naamini ni kipindi kigumu sana nachopitia.
Niko tayari kufanya kazi yoyote ile ilimradi tu iwe halali hata iwe ni kibarua kwa siku kama kuna mahali kunahitajika kibarua mm niko tayari ili tu nihudumie familia yangu.
Sijasoma sana Elimu yangu ni kidato cha nne fairule nina miaka 27.