Jplus Jr
Senior Member
- Dec 29, 2018
- 124
- 147
- Thread starter
- #21
Kuhama kwenda mahali mimi kwangu sio issue mkuu, ikipatikana sehemu yoyote na kukawa na issue ya uhakina naenda, sema kuondoka na hujapata ndio mtihani ulipo pia.
Badili direction sio lazima ukae mjini mazee sogea hata Bagamoyo huko ama Mkuranga kuna madon kibaao wanataka watu waaminifu kukaa na kutunza mashamba yao kimsingi wao ndio wanakua wasimamizi wakuu mzee baba anaulizia tu kwa simu shamba linaendeleaje mjini inabidi ukaze hata ikibidi kutumia njia za panya ambazo sioza halali