vvm
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 6,284
- 10,287
Kuna move imezuka awamu hii ya waTanzania kuitwa na kujiita wanyonge, hii haikubaliki kwani neno mnyonge ni neno lenye kukatisha tamaa, lisiloleta maendeleo na lenye kutufanya tuzidi kubweteka, Angalia maana ya neno Mnyonge kutoka kwenye Kamusi huru..
- 1 mtu dhaifu; mtu asiyekuwa na nguvu.
- 2 mtu mwenye tabia ya upole na ya kunyenyekea.
- 3 mtu wa hali ya chini.