Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,859
- 1,301
Unafikiri kwa bastola yake angeua raia wangapi kabla askari hawajamuwahi. Alianza na askari tena wenye silaha ili ajiongezee uwezo wa kushambulia, alipoona kuna askari wanamshambulia akaona a-deal na hao kwanza. Raia ni soft target.You should ask yourself why he target policemen and not other people? A terrorist targets anybody even women and children. A terrorist cares less provided he fulfills his mission!
Halafu wananchi waache ujinga, niliona clip fulani kuwa baada ya Hamza kupigwa risasi walitaka kwenda kushuhudia, msifanye hivyo maana angekuwapo gaidi mwingine anawalipua na kuua wengi.
Jamaa aliyemshusha Hamza kwenye gari ambalo shuhuda mmoja alisema ni TOYOTA IST, ameshahojiwa? Maana ni kama alimshusha akiwa tayari na bastola yake mkononi ( I stand to be corrected)