Jamaa hakuwa gaidi,angekuwa gaidi lazima angefsnya tukio kubwa la Mauaji kwa kuua watu wengi,zile daladala zote zilizokuwa pale zingeshambuliwa kwa risasi.Hamza hakuwa gaidi kwa sababu zifuatazo:
1. Hamza baada ya kuwatwanga risasi aliendelea kutamba barabarani na bunduki zake zikiwa zimejaa risasi bila ya kudhuru raia ye yote.
2. Mahali ambapo Hamza aliuawa kwa kupigwa risasi na polisi ilikuwa wazi sana kiasi kwamba polisi wenye ujuzi wangeweza kimkamata akiwa hai bila majeraha au kwa kujeruhiwa miguuni.
3. Kitendo cha askari kuendelea kumpiga risasi Hamza hata baada ya kuanguka chini na kuendelea kuipiga risasi maiti ya Hamza inaonyesha polisi wetu ama kukosa weledi wa kazi yao au kupoteza ushahidi kwa makusudi. Kwani polisi waligeuza maiti ya Hamza uwanja wa range wa kujifunzia shabaha.
4. Hamza angekuwa gaidi wa kidini kama DCI Wambura anavyodai angekuwa ameshambulia makanisa mengi na pia angekuwa ameua wakristu wengi sana. Aidha angekuwa ameshambulia misikiti na waislam wasio dhehebu lake.
5. Kwa muda wote ambao amekuwa kada wa CCM, wanachama wenzake na vyombo vya usalama vingekuwa vimeshamtambua. Kumbukeni uovu haujifichi kwa muda mrefu namna hii.
Ugaidi hauendeshwi na mtu mmoja hivyo kama Hamza angekuwa gaidi lazima angekuwa na wenzake ambao muda huu vyombo vya usalama vingekuwa vimewabaini na kuwatia mbaroni.
Nawashauri polisi wafanye kazi yao au waombe msaada wa uchunguzi kubaini ukweli. Katika suala hili polisi ni watuhumiwa hivyo hawana uhalali wa kujichunguza wenyewe na kutoa ukweli.
Hivii watizamaji wa porno nao ni porno actors/ actress, kukutwa na video za porno kweny simu yako inamaanasha una viashiria vya kuwa actor wa porno.Hawajasema kuwa ni gaidi. Wamesema alikuwa na viashiria vya ugaidi.
Kabla ya tukio lile lililosababisha mauti yake na askari kadhaa.
Alijirekodi video akiwa ameshika bastola huku akiimba nyimbo za uhamasishaji hasa zinazotumiwa na vikundi vya ugaidi.
Ni kweli anaweza kuwa hakuwa gaidi lakini alikuwa na viashiria vya ugaidi.
Na mwisho ni namna alivyofanya tukio lenyewe ,linafanana na ugaidi.
Tusitetee tu kila kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upelelezi huwa unaanzia kwenye vitu vidogo sana,na hivyo vitu vidogo hukupeleka kugundua vitu vikubwa. Kumbuka hii ni taaluma,si sahihi kudharau tu kila kitu kinachosemwa na polisi kwasababu tu wana mapungufu kiutendaji upande fulani.Hivii watizamaji wa porno nao ni porno actors/ actress, kukutwa na video za porno kweny simu yako inamaanasha una viashiria vya kuwa actor wa porno.
Bado saafikiani na swala la kusema ni gaidi kwa sbabu alizozitoa
Kwani kuna kesi gani,nadhani kulikuwa na tukio ambalo sidhani kama limezaa kesi yoyote.limesababisha uchunguzi wa kutaka kujua tu hamza alikuwa mtu wa aina gani?na kama wamegundua ana viashiria vya ugaidi,basi sababu zilizofanya aue polisi ni za kigaidi.Vita ni ya Hamza na polisi harafu hao hao polisi wanapewa kazi ya kuchunguza na kutoa taarifa kwa Wananchi wakati wao wanataka kujitoa kwenye hiyo kesi...yaani haiwezekani mtu mwenye akili timamu akawafata polisi tuu na magaidi huwa wanaua mpaka raia ili kukamilisha malengo yao nadhani ipo siku tutajua ukweli ila sio hii taarifa ya kupikwa..
Stupid! I can't argue with a fool, people might not distinguish between us!
Hamza hakuwa gaidi kwa sababu zifuatazo:
1. Hamza baada ya kuwatwanga risasi aliendelea kutamba barabarani na bunduki zake zikiwa zimejaa risasi bila ya kudhuru raia ye yote.
2. Mahali ambapo Hamza aliuawa kwa kupigwa risasi na polisi ilikuwa wazi sana kiasi kwamba polisi wenye ujuzi wangeweza kimkamata akiwa hai bila majeraha au kwa kujeruhiwa miguuni.
3. Kitendo cha askari kuendelea kumpiga risasi Hamza hata baada ya kuanguka chini na kuendelea kuipiga risasi maiti ya Hamza inaonyesha polisi wetu ama kukosa weledi wa kazi yao au kupoteza ushahidi kwa makusudi. Kwani polisi waligeuza maiti ya Hamza uwanja wa range wa kujifunzia shabaha.
4. Hamza angekuwa gaidi wa kidini kama DCI Wambura anavyodai angekuwa ameshambulia makanisa mengi na pia angekuwa ameua wakristu wengi sana. Aidha angekuwa ameshambulia misikiti na waislam wasio dhehebu lake.
5. Kwa muda wote ambao amekuwa kada wa CCM, wanachama wenzake na vyombo vya usalama vingekuwa vimeshamtambua. Kumbukeni uovu haujifichi kwa muda mrefu namna hii.
Ugaidi hauendeshwi na mtu mmoja hivyo kama Hamza angekuwa gaidi lazima angekuwa na wenzake ambao muda huu vyombo vya usalama vingekuwa vimewabaini na kuwatia mbaroni.
Nawashauri polisi wafanye kazi yao au waombe msaada wa uchunguzi kubaini ukweli. Katika suala hili polisi ni watuhumiwa hivyo hawana uhalali wa kujichunguza wenyewe na kutoa ukweli.
CCM chama cha kigaidi! Tofauti yake na ISIL,AL-SHABAAB ni kwa vile kinaongoza dola.Hamza hakuwa gaidi kwa sababu zifuatazo:
1. Hamza baada ya kuwatwanga risasi aliendelea kutamba barabarani na bunduki zake zikiwa zimejaa risasi bila ya kudhuru raia ye yote.
2. Mahali ambapo Hamza aliuawa kwa kupigwa risasi na polisi ilikuwa wazi sana kiasi kwamba polisi wenye ujuzi wangeweza kimkamata akiwa hai bila majeraha au kwa kujeruhiwa miguuni.
3. Kitendo cha askari kuendelea kumpiga risasi Hamza hata baada ya kuanguka chini na kuendelea kuipiga risasi maiti ya Hamza inaonyesha polisi wetu ama kukosa weledi wa kazi yao au kupoteza ushahidi kwa makusudi. Kwani polisi waligeuza maiti ya Hamza uwanja wa range wa kujifunzia shabaha.
4. Hamza angekuwa gaidi wa kidini kama DCI Wambura anavyodai angekuwa ameshambulia makanisa mengi na pia angekuwa ameua wakristu wengi sana. Aidha angekuwa ameshambulia misikiti na waislam wasio dhehebu lake.
5. Kwa muda wote ambao amekuwa kada wa CCM, wanachama wenzake na vyombo vya usalama vingekuwa vimeshamtambua. Kumbukeni uovu haujifichi kwa muda mrefu namna hii.
Ugaidi hauendeshwi na mtu mmoja hivyo kama Hamza angekuwa gaidi lazima angekuwa na wenzake ambao muda huu vyombo vya usalama vingekuwa vimewabaini na kuwatia mbaroni.
Nawashauri polisi wafanye kazi yao au waombe msaada wa uchunguzi kubaini ukweli. Katika suala hili polisi ni watuhumiwa hivyo hawana uhalali wa kujichunguza wenyewe na kutoa ukweli.
Kuokoa watu wengi gani wakati yeye aliwaacha hao watu wengi na kudili na polisi na tena mwishoni alisimama kabisa katikati ya barabara sasa polisi wenye mafunzo walishindwa nini kumdhibiti hadi wakawa wanapiga risasi pembeni na badala ya kumlenga mlengwa tena isingehitaji hata kumuuwa ila ajabu walikuwa wanamshambulia maiti mirisasi kibao.Kizazi Cha shetani kinazidi kujiimarisha kwa kutetea mambo ya kishetani tu kwasababu wanadhani chama Chao ndiyo kila kitu na ILI wajiongezee stress basi ni kuwa na chuki moyoni na kupinga kila kitu.
Kwa vyovyote utakavyo penda iwe bado hakuna uhalali wa kufanya alichokifanya kipenzi chenu Hamza na alichokipata ndiyo stahili yake kusingekuwa na mbadala maana alikuwa na Risasi zaidi ya 50 hivyo kuokoa watu wengi ni lazima kumtuliza MUUAJI.
Nakufanisha na mchawi kwa kushabikia ushetani kwa maslahi ya itikadi yako! Sijui unajiweka wapi endapo makosa yatatokea mkapewa mamlaka mtakuwa wabaya kuliko hao mnao wanyoshea vidole .
You should ask yourself why he target policemen and not other people? A terrorist targets anybody even women and children. A terrorist cares less provided he fulfills his mission!Yani wewe utakuwa mjinga wa kutupwa; Hata uchunguzi haukutakiwa, why?
1. Religious motivated.
2. He targeted Police and not others.
3. He was ready, and he knew he would die.
4. Amekuwa na affiliation na magaidi,
Nipe definition ya gaidi kwa uelewa wako?
Chombo chochote alichokuwa anatumia kuangalia iwe laptop , iwe simu nk ni rahisi sana kupata history ya websites alizokuwa anaagalia - Kuna software za kufanya hivyoPolisi wanadai Hamza aliishi kisiri na amejifunza ugaidi kupitia kuangalia mitandao ya ISS na Al Qaeda, je wamejuaje?