MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,094
- 7,218
Acha ujinga huo...yaani wewe mambo yako ya dhahania huko shuleni kwenu ndo unakuja kutletea hapa wizarani?
hivi wewe kufeli wanafunzi 25 unaona ni maajabu ya mwaka? muulize mulugo takwambia kwenye necta yake wali disco wangapi mwakajana.
hivi kujua kiingereza ndo kigezo cha kuwa katibu mkuu?? acha upuuzi wewe na je kama ni mtaalamu wa kiswahili au kifaransa, kichina na kijerumani?
yaani wewe nakuona kama "green guard" uliyekosa japo ukuu wa wilaya tu ndo unakuja kulia lia hapa.
hivi wewe kufeli wanafunzi 25 unaona ni maajabu ya mwaka? muulize mulugo takwambia kwenye necta yake wali disco wangapi mwakajana.
hivi kujua kiingereza ndo kigezo cha kuwa katibu mkuu?? acha upuuzi wewe na je kama ni mtaalamu wa kiswahili au kifaransa, kichina na kijerumani?
yaani wewe nakuona kama "green guard" uliyekosa japo ukuu wa wilaya tu ndo unakuja kulia lia hapa.