technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Elimu imekuwa ya mateso kwa wanafunzi, walimu na serikali kwa ujumla. wazazi wamekuwa walevi wamedumaa hawafikirii tena kupambana hata kupata ile elfu 20 tatu vitu vya bure havina uchungu hata kidogo wazazi sasa wamewatelekeza watoto na kuacha majukumu yao nashauri serikali warudishe karo shuleni.
Elimu ya bure iwe ya chuo kikuu na vyuo vya ufundi stadi sio unamsomesha mtu bure anamaliza form four anapata zero anao, anaolewa. Tuache siasa toka elimu bure ianze wazazi wamejisahau sana hawana kabisa uchungu na watoto wao.
kama ni watoto yatima mfumo ulikuwepo toka zamani wa kuwasomesha serikali inaujua lakini ili la kusomesha watoto halafu baba zao wanashinda kulewa halikubaliki hata kidogo.
Kwa mzazi anayejitambua hawezi kumpeleka mtoto wake akakae chini kisa shule ya bure.
Elimu ya bure iwe ya chuo kikuu na vyuo vya ufundi stadi sio unamsomesha mtu bure anamaliza form four anapata zero anao, anaolewa. Tuache siasa toka elimu bure ianze wazazi wamejisahau sana hawana kabisa uchungu na watoto wao.
kama ni watoto yatima mfumo ulikuwepo toka zamani wa kuwasomesha serikali inaujua lakini ili la kusomesha watoto halafu baba zao wanashinda kulewa halikubaliki hata kidogo.
Kwa mzazi anayejitambua hawezi kumpeleka mtoto wake akakae chini kisa shule ya bure.