mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Mmi nafikiri wapinzani wangekutana raisi na hao kina igp wakiwepo. Baada ya hapo wapokee maelekezo na kupiga ssluti kwenda kutekeleza.Matatizo hayawezi kutatuliwa kwa kutumia akili zilezile zilizoyatengeneza
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app