Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,761
- 49,604
Kwani atakua mjamzito miaka yote? Sijalipendaumelipenda?
Kwani atakua mjamzito miaka yote? Sijalipendaumelipenda?
Hahahaha hahahahaAlafu uje kuniambia watu wa JAMIIFORUMS ndiyo walewale ninaoishi nao mtaani.Haiwezekani
akijifungua nitabadili jina nitajiita baba fulani (jina la uyo mtoto atayezaliwa)Kwani atakua mjamzito miaka yote? Sijalipenda
Aseee watu mnamajibu hahahhhahaKama wewe unapigwa VITA, je Syria,Pakistan na somali watasemaje?
mkuu toka mkeo apate mimba sijui nakufatilia nyuzi zako ni za mapenzi na mke kuna mawilinapigwa vita sana usiku na mchana kisa mapenzi yetu mimi na mke wangu
watu wanatuonea wivu wanatamani tuachane nikaona ngoja nije jf kuonesha hisia zangu kwa mke wangu huko nako napigwa vita naambiwa mimba si yangu napoteza tu bure mali na muda wangu
tumependana wenyewe na Mungu analinda penzi letu asidi hana nafasi .
we jamaa bwana
Uneona like yangu huko?Kama wewe unapigwa VITA, je Syria,Pakistan na somali watasemaje?
Nimeona mkuu...ila kuna huyu jamaa miminimkulimaakachekasana ukipata like yake unakuwa "PLATNUM MEMBER"Uneona like yangu huko?