lyasi
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 362
- 383
Kunywa kahawa mahali ulipo bill nalipa Mimi.Kama wewe unapigwa VITA, je Syria,Pakistan na somali watasemaje?
Kunywa kahawa mahali ulipo bill nalipa Mimi.Kama wewe unapigwa VITA, je Syria,Pakistan na somali watasemaje?
ha ha ha atashindwa kukushughulikia ipasavyo.Mbona baba watoto huwa namuamkia na vitu pendwa anapata
Kunywa kahawa mahali ulipo bill nalipa Mimi.Kama wewe unapigwa VITA, je Syria,Pakistan na somali watasemaje?
Hawezi kushindwaha ha ha atashindwa kukushughulikia ipasavyo.
Ok,hiyo ni siri yakoHawezi kushindwa
Ok,hiyo ni siri yako
napigwa vita sana usiku na mchana kisa mapenzi yetu mimi na mke wangu
watu wanatuonea wivu wanatamani tuachane nikaona ngoja nije jf kuonesha hisia zangu kwa mke wangu huko nako napigwa vita naambiwa mimba si yangu napoteza tu bure mali na muda wangu
tumependana wenyewe na Mungu analinda penzi letu asidi hana nafasi .
Labda vita ya panzinapigwa vita sana usiku na mchana kisa mapenzi yetu mimi na mke wangu
watu wanatuonea wivu wanatamani tuachane nikaona ngoja nije jf kuonesha hisia zangu kwa mke wangu huko nako napigwa vita naambiwa mimba si yangu napoteza tu bure mali na muda wangu
tumependana wenyewe na Mungu analinda penzi letu asidi hana nafasi .
We jamaa siku zote huishi visa haya bananapigwa vita sana usiku na mchana kisa mapenzi yetu mimi na mke wangu
watu wanatuonea wivu wanatamani tuachane nikaona ngoja nije jf kuonesha hisia zangu kwa mke wangu huko nako napigwa vita naambiwa mimba si yangu napoteza tu bure mali na muda wangu
tumependana wenyewe na Mungu analinda penzi letu asidi hana nafasi .
Inawezekana kweliAna msongo wa mawazo
umelipenda?Jina lako tuu eti mke wangu mjamzito