Napigwa vita sana usiku na mchana Mungu yupo upande wangu

Shinnok

JF-Expert Member
Sep 26, 2019
236
562
napigwa vita sana usiku na mchana kisa mapenzi yetu mimi na mke wangu
watu wanatuonea wivu wanatamani tuachane nikaona ngoja nije jf kuonesha hisia zangu kwa mke wangu huko nako napigwa vita naambiwa mimba si yangu napoteza tu bure mali na muda wangu

tumependana wenyewe na Mungu analinda penzi letu asidi hana nafasi .
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom