Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Naombeni dawa ya kutoa kakitambi , minyama uzembe nimefanikiwa ila bado katumbo tu.
Katika mwili wa binadamu tumbo ndio sehemu tata kukubali mzoez,, bado mkuu ongeza reps tu,, baada ya miez mitatu utaona mabadilikoNaombeni dawa ya kutoa kakitambi , minyama uzembe nimefanikiwa ila bado katumbo tu.
koresto ni nini mkuu?Punguza vyakula vya mafuta acha nyama nyama kula samaki ukizingatia mafuta tunayotumia yana koresto
koresto ni nini mkuu?
Je blue band ya mkate ni koresto?Ni ile hali ya mafuta kuganda sehemu baridi ukiachia mbali kama mafuta ya alizeti na ufuta
Hili neno koresto sijawahi kulielewa
Hahahaa,, kuna member mmoja ametumia hilo neno na kudadavua kama mwanasayansi vile,,, kumbe naye kasimuliwa masikin! Wabongo bwana...Cholesterol
Koresto ni Cholesterol kwa neno la kiswahili ni Rehemu, kwa maneno rahisi ni kwamba Koresto ni aina ya mafuta(fats) yanayotengenezwa kwenye miili yetu (kwenye ini) na mengine tunayapata kwa kula vyakula kama nyama nyekundu, vyakula vya viwandani etc.Hili neno koresto sijawahi kulielewa