Plot4Sale Napiga bei viwanja vyangu vilivyopimwa Madale Mivumoni

Aug 20, 2016
9
2
Habari zenu ndugu zangu mabibi na mabwana, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vizuri kwa uwezo wake aliyejuu.

Napenda kuwahabarisha kwamba nauza viwanja vyangu ambavyo vipo kata ya Wazo kitongoji cha madale mivumoni.

Jumla ya viwanja vipo kumi na tatu(13), vyote vina nyaraka muhimu ikiwemo hati ambayo ipo kwenye process ardhi.

Nikiwa na maana, endapo mtu atanunua, hati itatoka kwa jina lake, nimeambatanisha na mchoro wa viwanja husika kwenye jukwaa Hili.

Bei zimetofautiana kulingana na ukubwa wa eneo kama ifuatavyo :

1600sm (40*40) = 35milioni(Mazungumzo yapo).

800sm (20*40) = 25milioni (Mazungumzo yapo).

UMEME UMEFIKA NA MAJI YAPO JIRANI KABISA

 

Attachments

  • HATI1.jpg
    HATI1.jpg
    45.8 KB · Views: 117
Habari zenu ndugu zangu mabibi na mabwana, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vizuri kwa uwezo wake aliyejuu.

Napenda kuwahabarisha kwamba nauza viwanja vyangu ambavyo vipo kata ya Wazo kitongoji cha madale mivumoni.

Jumla ya viwanja vipo kumi na tatu(13), vyote vina nyaraka muhimu ikiwemo hati ambayo ipo kwenye process ardhi.

Nikiwa na maana, endapo mtu atanunua, hati itatoka kwa jina lake, nimeambatanisha na mchoro wa viwanja husika kwenye jukwaa Hili.

Bei zimetofautiana kulingana na ukubwa wa eneo kama ifuatavyo :

1600sm (40*40) = 35milioni(Mazungumzo yapo).

800sm (20*40) = 25milioni (Mazungumzo yapo).

UMEME UMEFIKA NA MAJI YAPO JIRANI KABISA

Mkuu Siwazi wa siwazi bado Viwanja Vyako Vya Madale Mivumoni unavyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom