Napendwa sana na watoto ila mama zao watanivunjia ndoa

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,032
Sijisifii ila ndivyo nilivyo, watoto wananipenda sana tangu mimi ni mdogo, hawa watoto naozungumzia, mara nyingi ni watoto chini ya miaka 7

Kwa sasa nina miaka 29, nimeoa na tuna watoto wawili. Changamoto ninayopata niwapo kazini, kwenye biashara, mtaani na maeneo mengi huwa natokea tu kupendwa na watoto wa maeneo hayo, ila kama itatokea mzazi hataki mtoto wake aje kwangu nitatii

Changamoto ni kwamba hawa kina mama wa hawa watoto huanza kujenga ukaribu na mimi na huwa sina tatizo, ila tatizo linapokuja ni pale wanapoanza kutia juhudi kunitaka kuwa karibu kimapenzi.

Nina exit strategies nyingi za kukabiliana na hii chnagamoto lakini kuna hawa vinganganizi ni kero tupu.

Mfano kuna mtoto flan anapendaga sana kuja eneo langu la biashara ninapotoka kazini, nikiagiza chakula tutakula wote, kuna simu huwa siitumii sana nawapa wacheze games pamoja na vizawadi vya pipi, madaftari, juisi, n.k.

Sasa huyu mtoto mama yake nashindwa kumuelewa licha ya kujua kwamba mimi ni mume wa mtu.

Nina kawaida ya kuhesabu vitu kila baada ya siku kadhaa ili kulinganisha na mauzo, na wakati huu binti wa kazi huwa kaondoka, Huwa ninafunga mlango wa duka ili nianze kuhesabu vizuri bila bugudha.

Nikasikia hodi, kunfungua namkuta mama wa huyo mtoto, akaniambia kuna kitu mtoto kasahau aje kukichukua, akawa anatafta tafta tu nikamwabia nimsaidie, sasa navyomwambia nimsaidie ghafla kanikumbata, haikua mara ya kwanza kukutana na hili tukio, kuna wengine nao walikuja kwa gia hii hii,

Nilimwambia acha, ile kwa ukali bado akaendelea, nilijitoa kwake na mara hii alirudi kqa nguvu.

LA HAULA!! huyu mama hana adabu, aliupeleka mkono wake kwenye maeneo ya zipu, akaanza kumminya minya askari.

kwa sekunde kama 15 akiendelea na huo ukachero nilimwangalia machoni huku nikiwa nimeufungua mdomo na kumkodleo macho, mapigo ya moyo yakiongezeka na nikihema kwa haraka maana sikutemea hili (niwe mkweli hizo sekunde 15 askari alianza kuvimba)

Nampenda sana mke wangu na hicho alichodhamiria basi mke wangu anaweza vizuri tu na ninakipata napotaka.

ilibidi nimwambie tu aache huo ujinga huku nikiwa na msimamo, niliwahi kufunga hata bila kumaliza zoezi la kuhesabu mzigo maana hali huenda ikawa tete mule ndanj au hata kusingiziwa nimebaka endapo angefikiria uovu.

Kwa sasa ninaona huenda ntarogwa kwa matego au malimbwata ya hawa wamama wa watoto ambao mimi kwa nia nzuri tu huwa sina kinyongo kuwapa kampani.

Sasa wakuu, Hali ndio kama hio tena, na sio huyu tu, ni wengi, na hata kazini huko wapo wanne ambao lengo lao lipo wazi juu yangu ila tunaheshimiana.

Je niwe kauzu kwa watoto ili kunusuru ndoa yangu
 
Ukiona unatongozwa sana jua uko cheap mkaka mwenye misimamo yake mmh eti niwe kauzu ili kunusuru ndoa yangu like serious unauliza hivyo??
Mimi sipo cheap mkuu, Nachojua ni kwamba mama anampenda sana mtoto wake kuliko kiti chochote, Sasa kwa haraka haraka nimeona jinsi hawa watoto wanavonipenda mama zao wanafurahi ninavyowapa watoto wao furaha, sasa huenda labda wanataka kunipa vitu vya ziada wakidhani ndio ntawapa furaha zaidi watoto wao

Labda niweke clear, yani niwe kauzu kwa watoto ili mama zao wasijenge mazoea,
 
Hapo wanapenda status yako na Mali ulizonazo.
Ungekuwa Apeche Allolo hao wazazi wa watoto wangekuwa hawataki hata usiwaguse na ungetukanwa kila tusi.
vihela vyenyewe vya kubangaiza bangaiza tu mkuu,

Wamama wanapenda sana watoto wao, wakijua unawapa furaha ndo changamoto inageukia kwako.

Nakumbuka nlipomaliza form 4 kuna mabinti wawili waliokuwa single mothers, watoto wao walinipenda, Sikuwa na kitu ila waliniomba mchezo, na kwa akili zile bado nipo foolish age ilikuwa ni dozi mtindo moja licha ya wao kuwa dada zangu
 
vihela vyenyewe vya kubangaiza bangaiza tu mkuu,

nikuweke tu wazi kwamba nlipokuwa miaka 17 ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kushiriki mechi,

huu huu ukaribu na watoto ulimfanya mama wa mtoto fulani alikuwa na miaka 22 ndie alienipa mchezo baada ya kuzoeana sana

zamani nlipokuwa kijana mdogo akili zinawaza ufuska hizi type nimzila na wala sikuwa na pesa mkuu
Basi vizuri una nyota ya watoto, kama Una muda na eneo fungua sehemu ya michezo ya watoto uweke baiskeli na matoy ili upate double advantage ya upendo na pesa.
 
vihela vyenyewe vya kubangaiza bangaiza tu mkuu,

Wamama wanapenda sana watoto wao, wakijua unawapa furaha ndo changamoto inageukia kwako.

Nakumbuka nlipomaliza form 4 kuna mabinti wawili waliokuwa single mothers, watoto wao walinipenda, Sikuwa na kitu ila waliniomba mchezo, na kwa akili zile bado nipo foolish age ilikuwa ni dozi mtindo moja licha ya wao kuwa dada zangu
Oohhooooo kumbe hili n tatizo
 
Infact.. watoto wengi hukosa upendo wa wazazi..
Kwa hiyo wakipata Mtu wa kuwajali basi huFall na kuwa Rafiki wa mioyo yao!!

Tunausemi huu:- chukuwa moyo wa upendo kutoka kwa watoto!!
Na chukuwa haiba kwa mashujaa/ famous people
Na chukuwa hekima,busara from Elders,old pippo!!
 
Kwani kuna ubaya gani mkuu kuwanunulia watoto haya madafrari ya 200, hizi pipi za 100, Ukiwa mtu wa kupendwa na watoto hii hali ya kawaida sana
Endelea kuwapenda watoto,mtu anaetaka kukutingisa uachane na kuwapenda wototo achana nae!
 
Ndugu yangu kumbuka story ya yusuf,wewe utapewa kesi ya kubaka watoto muda si muda miaka 30 ndipo kutakuwa na kilio na kusaga meno
 
Back
Top Bottom