RichZ
Member
- Mar 30, 2017
- 20
- 7
Hello,
Mimi ni mwanafunzi wa chuo fulani Morogoro, tatizo langu ni kwamba nilisha tendwa miaka miwili iliyo pita kwa hiyo sipendi kukaa na wanawake huwa na jitenga peke yangu discussion huwa sipendelei kwa kuwa katika kundi letu kuna wanawake 5 japo hupenda sana uwepo wangu kwa kuwa nipo serious na sipendi ujinga muda wa disc.
Tatizo ni kwamba robo tatu ya wana wake wa darasani wote wananikubali sana kimapenzi hupenda kuja nakuniomba niwaelekeze vitu fulani vya kimasomo, na mimi huwa sikatai lakini nikiwa katika kuwafundsha kutegwa kwingi alafu wengi wao wanakuwa wakifikiria mbali hapo ndipo wanaponiudhi.
Wengine wamenitongoza kabisa, nimetokea kuwachukia sana wanawake kwahiyo muda mwingi nakaa na wanaume wenzangu tukiwa katika stori ila tukiwa katika kusoma huwa nakaa alone tuu, nimekuwa gumzo sana kwa upande wa wanawake hadi mwaka wa kwanza tu wananifahamu kwa kuwa nipo tofauti na wenzangu, sijisifii ila ninaongea kilichopo.
Licha ya hayo mimi ninasali dhehebu fulani hivi na huwa napenda sana kufunga na kuomba kulingana na shida zangu kwa MUNGU wangu, nimefuta contacts picha na kila kitu cha alie kuwa mpenzi wangu tangu tuachane na mwezi huu ameanza kunitafuta kwa kunipigia na kunitumia text lakini sijawahi kupokea wala kujibu, sitaki kujua lengo lake nini kwani hata SMS zake huwa anasalimia tu " mambo". Basi nikiona text yake tuu hasira na kuwachukia wanawake zinakuwa mara mbili.
Naombeni ushauri kimawazo nifanyaje ili nifikie malengo yangu bila kuwaudhi na kutoonyesha hasira kwa wanawake.
Pia nimepanga kutokuwa na mtu hadi nitapohitimu masters yangu ingali sasa ni mwaka wa 2 wa degree yangu, kwa mtazamo wako nitaweza.?
Mimi ni mwanafunzi wa chuo fulani Morogoro, tatizo langu ni kwamba nilisha tendwa miaka miwili iliyo pita kwa hiyo sipendi kukaa na wanawake huwa na jitenga peke yangu discussion huwa sipendelei kwa kuwa katika kundi letu kuna wanawake 5 japo hupenda sana uwepo wangu kwa kuwa nipo serious na sipendi ujinga muda wa disc.
Tatizo ni kwamba robo tatu ya wana wake wa darasani wote wananikubali sana kimapenzi hupenda kuja nakuniomba niwaelekeze vitu fulani vya kimasomo, na mimi huwa sikatai lakini nikiwa katika kuwafundsha kutegwa kwingi alafu wengi wao wanakuwa wakifikiria mbali hapo ndipo wanaponiudhi.
Wengine wamenitongoza kabisa, nimetokea kuwachukia sana wanawake kwahiyo muda mwingi nakaa na wanaume wenzangu tukiwa katika stori ila tukiwa katika kusoma huwa nakaa alone tuu, nimekuwa gumzo sana kwa upande wa wanawake hadi mwaka wa kwanza tu wananifahamu kwa kuwa nipo tofauti na wenzangu, sijisifii ila ninaongea kilichopo.
Licha ya hayo mimi ninasali dhehebu fulani hivi na huwa napenda sana kufunga na kuomba kulingana na shida zangu kwa MUNGU wangu, nimefuta contacts picha na kila kitu cha alie kuwa mpenzi wangu tangu tuachane na mwezi huu ameanza kunitafuta kwa kunipigia na kunitumia text lakini sijawahi kupokea wala kujibu, sitaki kujua lengo lake nini kwani hata SMS zake huwa anasalimia tu " mambo". Basi nikiona text yake tuu hasira na kuwachukia wanawake zinakuwa mara mbili.
Naombeni ushauri kimawazo nifanyaje ili nifikie malengo yangu bila kuwaudhi na kutoonyesha hasira kwa wanawake.
Pia nimepanga kutokuwa na mtu hadi nitapohitimu masters yangu ingali sasa ni mwaka wa 2 wa degree yangu, kwa mtazamo wako nitaweza.?