Chungu cha bibi
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 525
- 166
Habari zenu wana MMU,wikiendi ndo iyoo inaishia taratibu...
Ni hivi hii kitu imenitokea kama mara tano hivi,kila ninapokua na mpenzi baada ya muda mfupi,rafiki wa mpenzi wangu lazima atanitaka tu.
Ilianza kipindi nipo advance,kuna rafiki wa mpenzi wangu alikua ananitaka na kunilazimishaa kutoka nae kimapenzi..mitego mingi na vijizawadi vya hapa na pale.nikajiongeza kiume nikachapa mtu na best yake..
Ikatokea tena nilivyokua chuo,tena huyu mwanzo alikataa nilivyomtokea lakini baada ya muda kidogo nikawa natoka na rafiki yake,haikupita muda nae akaanza kunitaka kimapenzi huku akiniomba msamaa kwa kunipiga kibuti hapo awali..kwa kuwa nilikua nampenda nikala aisee...
Nyingine kama tatu zimenitokea katika maisha yangu ya kila siku tu huku mtaani kwangu..
Swala ni kwamba mimi nimebarikiwa sana au ni vipi inakuaje inanitokea mimi tu..wasi wasi wangu ni kwamba siku naamua kuoa,mashosti wa mke wangu wakianza hayo mambo sijui itakuaje..ili swala naliwaza sana.
Ni hivi hii kitu imenitokea kama mara tano hivi,kila ninapokua na mpenzi baada ya muda mfupi,rafiki wa mpenzi wangu lazima atanitaka tu.
Ilianza kipindi nipo advance,kuna rafiki wa mpenzi wangu alikua ananitaka na kunilazimishaa kutoka nae kimapenzi..mitego mingi na vijizawadi vya hapa na pale.nikajiongeza kiume nikachapa mtu na best yake..
Ikatokea tena nilivyokua chuo,tena huyu mwanzo alikataa nilivyomtokea lakini baada ya muda kidogo nikawa natoka na rafiki yake,haikupita muda nae akaanza kunitaka kimapenzi huku akiniomba msamaa kwa kunipiga kibuti hapo awali..kwa kuwa nilikua nampenda nikala aisee...
Nyingine kama tatu zimenitokea katika maisha yangu ya kila siku tu huku mtaani kwangu..
Swala ni kwamba mimi nimebarikiwa sana au ni vipi inakuaje inanitokea mimi tu..wasi wasi wangu ni kwamba siku naamua kuoa,mashosti wa mke wangu wakianza hayo mambo sijui itakuaje..ili swala naliwaza sana.