Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Nafikiri tukutane angalau ata kwa kuchangia na kupangilia eneo fulani. Tuchague Viongonzi wa kuratibu hii kitu. Nasema hivyo kwakuwa:
- jf inawatu wenye uwezo mkubwa wa kutafakari na kufumbua mambo
- kuna aja ya kujuana na kwakuwa sote ni kitu kimoja basi tutapanga la kufanya
- tuwatambue kina mods, Mwanakijiji, nk.
- tuwone wale walioweka picha kali wkt pengine ni wakawaida au ata wazee, au vituko
- tuweke mikakati ya kulikomboa taifa:flypig: