FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,009
- 40,680
Zibakishwe siti tatu tu kwa ajili ya wazee, wajawazito na wenye ulemavu, wengine wote wawekewe zile kamba na mabomba kwa ajili ya kujishika. Hii itaongeza mapato kwa kiasi kikubwa sana.
Kwa nini mabasi yasiongezweZibakishwe siti tatu tu kwa ajili ya wazee, wajawazito na wenye ulemavu, wengine wote wawekewe zile kamba na mabomba kwa ajili ya kujishika. Hii itaongeza mapato kwa kiasi kikubwa sana.
WaTz kwa uharibifu, hatujambo. Je linatengenezwa kubeba uzito wa halaiki ya watu?Zibakishwe siti tatu tu kwa ajili ya wazee, wajawazito na wenye ulemavu, wengine wote wawekewe zile kamba na mabomba kwa ajili ya kujishika. Hii itaongeza mapato kwa kiasi kikubwa sana.
La kufanya ni kuongeza mabasi mengi na si kujenga daraja la billioni 700 ziwani.Zibakishwe siti tatu tu kwa ajili ya wazee, wajawazito na wenye ulemavu, wengine wote wawekewe zile kamba na mabomba kwa ajili ya kujishika. Hii itaongeza mapato kwa kiasi kikubwa sana.
Vipi yale yalioshikiliwa kule bandarini, yanaachiwa lini?La kufanya ni kuongeza mabasi mengi na si kujenga daraja la billioni 700 ziwani.
Tung'oe na seat ya dereva
Kama unataka kukaa kwenye siti pandia ubungo,kimara nk sio kuongea huu ujinga.Zibakishwe siti tatu tu kwa ajili ya wazee, wajawazito na wenye ulemavu, wengine wote wawekewe zile kamba na mabomba kwa ajili ya kujishika. Hii itaongeza mapato kwa kiasi kikubwa sana.
Yale mabasi yaliyoshikiliwa pale bandarini yanaachiwa lini?waongeze mwekezaji mwingine atake ongeza mabasi mengine
Yale mabasi yaliyoshikiliwa pale bandarini yanaachiwa lini?
Basi wayaachie hayo kwanza, then tuone kama yatahitajika zaidi...
yap,,kikubwa huduma ya uhakika ipatikane kakaBasi wayaachie hayo kwanza, then tuone kama yatahitajika zaidi...