Napendekeza tuwe na Mbunge mmoja tu kila mkoa. Halafu walipwe 50M kwa mwezi.

Sioni sababu ya kuwa na wabunge 393 ktk nchi maskini kama hii. Halafu tija yao mm binafsi siioni kabisa japo ni wengi kiasi hicho.

Kwann tusiwe na mbunge mmoja tu toka kila mkoa? Huyu awe anahushuria vikao vya RCC na kupokea mihutasari ya vikao vya madiwani toka halmashauri zote ktk mkoa husika kisha asome na kuyawasilisha mawazo/matatizo hayo bungeni.

Kwahiyo tutakuwa na bunge la watu 46 tu
  • 36 toka mikoa 36
  • 10 toka kwa rais.

Wabunge hawa wawe na mshahara mnono Kati ya 40M mpk 50M kwa mwezi.

Mawaziri wawe sita tu. Kwasabb napendekeza zibakie wizara sita tu
1. Afya na nini nin ibakie.
2. Tamisemi-- elimu, kilimo, mifugo,uvuvi, michezo, mazingira, habari, n.k
3. Mambo ya nje na ushirikiano wa kikanda.
4. Ulinzi na mambo ya ndani,
5. Fedha, mipango, nishati, madini, viwanda na biashara
6. Sheria, katiba, utawala bora na utumishi wa umma.

Sifa kuu za wabunge.
1. Awe ni mtu aliyeweza kufanya jambo fulani kubwa linalosaidia jamii kubwa ktk mkoa. Mfano kaanzisha kiwanda kikubwa, taasisi, amefanya uvumbuzi mkubwa, anaendesha mashamba makubwa na kutoa ajira kwa watu
2. Awe na elimu ya shahada ama zaidi. Hii itamsaidia kuchambua na kupambanua mambo kwa upana.

Viti maalumu vifutwe kabisa. Vimetuchelewesha sana hivi ndugu zangu (in mwendazake's voice).
WAZO ZURI , NA HATA INGELIPATAIKANA ILE KATIBA PENDEKEZWA YA MZEE SINDE WARIOBA. ILIKUWA INAUNAFUU KWA KUNDI HILI LA WALA JASHO LA WATANZANIA BILA TIJA KWA SEHEMU KUBWA.
 
Sioni sababu ya kuwa na wabunge 393 ktk nchi maskini kama hii. Halafu tija yao mm binafsi siioni kabisa japo ni wengi kiasi hicho.

Kwann tusiwe na mbunge mmoja tu toka kila mkoa? Huyu awe anahushuria vikao vya RCC na kupokea mihutasari ya vikao vya madiwani toka halmashauri zote ktk mkoa husika kisha asome na kuyawasilisha mawazo/matatizo hayo bungeni.

Kwahiyo tutakuwa na bunge la watu 46 tu
  • 36 toka mikoa 36
  • 10 toka kwa rais.

Wabunge hawa wawe na mshahara mnono Kati ya 40M mpk 50M kwa mwezi.

Mawaziri wawe sita tu. Kwasabb napendekeza zibakie wizara sita tu
1. Afya na nini nin ibakie.
2. Tamisemi-- elimu, kilimo, mifugo,uvuvi, michezo, mazingira, habari, n.k
3. Mambo ya nje na ushirikiano wa kikanda.
4. Ulinzi na mambo ya ndani,
5. Fedha, mipango, nishati, madini, viwanda na biashara
6. Sheria, katiba, utawala bora na utumishi wa umma.

Sifa kuu za wabunge.
1. Awe ni mtu aliyeweza kufanya jambo fulani kubwa linalosaidia jamii kubwa ktk mkoa. Mfano kaanzisha kiwanda kikubwa, taasisi, amefanya uvumbuzi mkubwa, anaendesha mashamba makubwa na kutoa ajira kwa watu
2. Awe na elimu ya shahada ama zaidi. Hii itamsaidia kuchambua na kupambanua mambo kwa upana.

Viti maalumu vifutwe kabisa. Vimetuchelewesha sana hivi ndugu zangu (in mwendazake's voice).
acha wehu dai katiba mpya
 
Back
Top Bottom