FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,052
- 40,715
- Thread starter
- #21
Ndio wanilindie kwa sababu nailipia kodi, au kodi kazi yake nini? Au hiyo bima ni bure?Kwa hiyo wakulindie simu yako ya milioni moja isiibiwe, kwa nini usiikatie bima kama unaona ina thamani kubwa.....