MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kama kuna Maamuzi ambayo Generalist Mimi nitayafurahia na nitazidi Kumpenda (Kumkubali) Rais wangu Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan, Serikali yake na Chama chake (changu) cha CCM ni kama akiliamua hili lifuatalo.
Kwamba tarehe ya Kumbukumbu (Kumbukizi) ya Kifo cha Rais Hayati Dkt. Magufuli iendane pia na Kuwakumbuka 'Wazalendo' wa 'Wanyonge' akina Ben Saanane, Azory Gwanda, Akwilina Akwilina, Alphonce Mawazo na Kupigwa Risasi za Kuuwawa kwa Tundu Lissu.
Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan najua (tena kwa Kujiamini kabisa) kuwa Wewe binafsi, Gerson Msigwa, Dkt. Abbas na Hamphrey Polepole huwa 'mnanisoma' mno (24/7) Generalist hapa JamiiForums hivyo Ombi langu hili mtalipokea, mtalifanyia Kazi na huenda mkalikubali pia na Mwakani likaanza.
Kwamba tarehe ya Kumbukumbu (Kumbukizi) ya Kifo cha Rais Hayati Dkt. Magufuli iendane pia na Kuwakumbuka 'Wazalendo' wa 'Wanyonge' akina Ben Saanane, Azory Gwanda, Akwilina Akwilina, Alphonce Mawazo na Kupigwa Risasi za Kuuwawa kwa Tundu Lissu.
Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan najua (tena kwa Kujiamini kabisa) kuwa Wewe binafsi, Gerson Msigwa, Dkt. Abbas na Hamphrey Polepole huwa 'mnanisoma' mno (24/7) Generalist hapa JamiiForums hivyo Ombi langu hili mtalipokea, mtalifanyia Kazi na huenda mkalikubali pia na Mwakani likaanza.