Napendekeza sheria itakayoshurutisha watumishi wa umma kufanya kazi miaka 10 pekee kisha wastaafu na kujiajiri

Sasa hivi wapo wenye uzoefu hadi wa miaka 30, kipi cha tofauti sana?
Una matatizo gani na watumishi waliopo? Hukusoma kwa kutumia waalimu hawa hawa? Huko mahospitalini watu hawatibiwi kwa madaktari hawa hawa?

Sasa imagine kila daktari akifikisha uzoefu wa miaka 10 usimpate tena mbadala wake awe new graduate wa kupata tena uzoefu naye in 10 years huyo hayupo.
 
Una matatizo gani na watumishi waliopo? Hukusoma kwa kutumia waalimu hawa hawa? Huko mahospitalini watu hawatibiwi kwa madaktari hawa hawa?

Sasa imagine kila daktari akifikisha uzoefu wa miaka 10 usimpate tena mbadala wake awe new graduate wa kupata tena uzoefu naye in 10 years huyo hayupo.
kaka kesho nakutembelea kazini kwako
 
Wanajukwaa,

Naomba kupendekeza ili kupambana na janga la ajira, kuanzia sasa watu wanaoajiriwa katika sekta za umma wafanye kazi for only 10 years then wastaafishwe watumie walichopata kujiajiri.

Hii itahakikisha kuwa nguvu mpya kutoka vyuoni inapata nafasi ya kutumikia taifa na kuongeza pia wigo wa ajira kutokana na biashara/taasisi watakazoanzisha wastaafu.
Umri wa kuishi umepungua sana yaani life span ya mtanzania ni miaka 45 kama sijakosea.

Nadhani inafaa umri wa kustaafu upunguzwe badala ya miaka 55 iwe miaka 45 hiari lazima miaka 50.
hii itasaidia vijana nao kupata ajira.
wazee wamejaa sana, wanaziba nafasi za vijana
 
Kutakua hakuna masenior kazini kazi zitalipuliwa tu. alafu iyo cycle ikiisha itakuaje waludi kazinini au maana miaka 10 sio mingi. mimi sina ajira ila hii hapana
 
Tegemea ubadhilifu wa Mali ya umma kuongezeka sana, kwa muundo wa mishahara hii, watu watahitaji kupiga sana ili after 10 years awe ametoka na kitu.
 
Wanajukwaa,

Naomba kupendekeza ili kupambana na janga la ajira, kuanzia sasa watu wanaoajiriwa katika sekta za umma wafanye kazi for only 10 years then wastaafishwe watumie walichopata kujiajiri.

Hii itahakikisha kuwa nguvu mpya kutoka vyuoni inapata nafasi ya kutumikia taifa na kuongeza pia wigo wa ajira kutokana na biashara/taasisi watakazoanzisha wastaafu.
Naheshimu wazo lako lakini hili jambo haliwezekani.
Labda useme kuwepo na ajira za mkataba wa miaka 10 pia kuwepo na room ya ku_renew mkataba.
 
Shida imeanzia kwenye mitaala. Kila mtu kasoma aajiriwe.

Unamuona Fauci wa US ni Director wa National Institute of Allergy and Infectious Diseases toka 1984. Kupata experience ni kugumu zaidi ya kupata cheti cha Darasani. Hakuna shule inayotoa cheti cha kupata experience.
 
Kama mishahara minono hata miaka 5️⃣ inatosha, ila kwa mishahara ya take-home ya 3k mpaka 9k ambapo watumishi wengi wanacheza kati, hii ni hela ya kula tu
 
Kutakua hakuna masenior kazini kazi zitalipuliwa tu. alafu iyo cycle ikiisha itakuaje waludi kazinini au maana miaka 10 sio mingi. mimi sina ajira ila hii hapana

“mimi sina ajira ila hi hapana”

Unafikiri kijamaa kwenye mfumo wa kibepar....jufunze kutambua kipaumbere cha kwanza ni 'wewe'

Ikitokea kitu angalia faida kwako then ndio kwengine.
 
Back
Top Bottom