ARGAN MARA
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 930
- 2,520
(Mod naomba tafadhar msiufute huu uzi Kama ilivyo kawaida yenu kunifutia nyuz zangu) twende kweny Mada Wakuru me ni kijana mtanzania mwenye mapenz na taifa lang binafs leo nimeona kuna umuhim mkubwa kinda baba nap kupew pesa za mkopo kwa ajir ya kujiendelea kiuchumi na kijamii kama serikali ilivyo tenga pesa za mkopo kwa kina mama, Vijana na walemavu Asanteni sana naomba kuwasilisha