Kati 900 na 1100 kama itawezekanaSafi dulla ila swali langu la msingi niliomba upendekeze bei ya nauli
Kati 900 na 1100 kama itawezekanaSafi dulla ila swali langu la msingi niliomba upendekeze bei ya nauli
TANROAD wanapaswa wahakikishe kituo cha kimataifa cha mabasi, Magufuli bus terminal kinafikika kwa haraka na kwa wakati kutoka kila kona ya Jiji.Wadau natumaini kuwa ni wazima wa afya.
Kituo cha daladala Mbezi-Luis ni katika vituo vikubwa vinavyounganisha maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam.
Cha kushangaza hakuna daladala za moja kwa moja Mbezi Luis-Bunju, hali inayowapa ugumu wakazi wa Kunduchi, Mbezi Beach, Tegeta na Bunju kuwafanya waunganishe magari hivyo nauli kuwa kubwa na usumbufu kuongezeka.
Napendekeza kuanzishwa kwa route hii mpya.
Hivi ile njia ya kutokea Wazo ilishamalizwa wekewa lami?
Busara tu ya kawaida inaelekeza barabara hii ni kiungo muhimu(core by-pass) cha mkoa wa DSM, kukatisha kaskazini hadi kusini, ikiunganishwa na Mbezi hadi Gongo la mboto, Temeke na Mbagala yote.LATRA..TUNAWASIHI ..HII ROUTE NI MUHIMU SANA MBEZI LOUIS-MABWEPANDE-BUNJU B
MBUNGE WETU MSIKIVU TUSAIDIE HARAKA NA PIA TUWEKEE LAMI..MAANA HIYO BARA BARA NI MBOVU SANA INA VUMBI KIBAO
Hakika Jana nilikwenda kitengule hospital niliziona gari za mbezi -tegetaHatimaye route imeanza japo imeishia Tegeta Nyuki kupitia Madale, Njia nne itapunguza sana msongamano wa Mbezi Beach Shule.
Bado route zipo wakuu?