Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,571
- 217,930
Wakuu natanguliza salamu,
Ni ukweli usiopingika kwamba UKAWA itashinda viti vingi zaidi vya ubunge, hivyo inastahili kuongoza bunge. Mwana UKAWA muungwana, msomi na mvumilivu ninayemfahamu mimi ni Profesa Baregu. Nampendekeza achukue kiti cha spika.
Nakaribisha maoni kutoka kwa wadau wengine wa UKAWA
Ni ukweli usiopingika kwamba UKAWA itashinda viti vingi zaidi vya ubunge, hivyo inastahili kuongoza bunge. Mwana UKAWA muungwana, msomi na mvumilivu ninayemfahamu mimi ni Profesa Baregu. Nampendekeza achukue kiti cha spika.
Nakaribisha maoni kutoka kwa wadau wengine wa UKAWA