MEXICANA
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 1,772
- 2,032
Wanajukwaa,husikeni na pendekezo tajwa hapo juu.
Kwa kuwa Mwanri ni mtaalamu aliyebobea kuhandle mambo ya ujanja ujanja na kusawazisha mambo.
Pia ikumbukwe kuwa Rc Mwanri ni RC pekee anayeweza kusoma alama za nyakati na kuendana nazo,achilia mbali kuwa yeye ni born town kitambo pamoja na kwamba ametokea milimani Kilimanjaro.
Mkoa wa Morogoro ni mkoa wenye fursa Sana, na ni mkoa wenye waswahili wengi Sana (wajanja wajanja),unahitaji RC aina ya Mwanri ili mambo yakae vizuri. Amini usiamini Morogoro ikikusanya vzr mapato yake hakuna mkoa wa kuusogelea kimapato.
Lakini pia ni mkoa wenye changamoto ya upatikanaji wa maji ya kunywa hususani manspaa Morogoro pamoja na kwamba vyanzo vya maji vimezunguka pande zote.
Naomba kupendekeza.
Kwa kuwa Mwanri ni mtaalamu aliyebobea kuhandle mambo ya ujanja ujanja na kusawazisha mambo.
Pia ikumbukwe kuwa Rc Mwanri ni RC pekee anayeweza kusoma alama za nyakati na kuendana nazo,achilia mbali kuwa yeye ni born town kitambo pamoja na kwamba ametokea milimani Kilimanjaro.
Mkoa wa Morogoro ni mkoa wenye fursa Sana, na ni mkoa wenye waswahili wengi Sana (wajanja wajanja),unahitaji RC aina ya Mwanri ili mambo yakae vizuri. Amini usiamini Morogoro ikikusanya vzr mapato yake hakuna mkoa wa kuusogelea kimapato.
Lakini pia ni mkoa wenye changamoto ya upatikanaji wa maji ya kunywa hususani manspaa Morogoro pamoja na kwamba vyanzo vya maji vimezunguka pande zote.
Naomba kupendekeza.