Rajikumar Ashoka
Senior Member
- Jun 3, 2017
- 150
- 91
Mungu akubariki Rais Magufuli kwa kujitoa kwa moyo wako wote kwa ajili ya maslahi ya watanzania tuko pamoja na ww tunazidi kukuombea kwa Mungu na lazima utashinda Mkuu
Akamatwe alafu aingizwe kwenye acid kali ayeyeyukie mbaliAnyongwe sio, au unamaanisha nini?
Mbaya zaidi hawa viongozi kiburi kiliwazidi wengine wakasema tutakula nyasi wengine bado wanatuita malofa, tena kwenye majukwaa hadharani
answerable!Watupie bomu tu mitambo yao ilipuke.
Sio kirahisi rahisi mnavyodhaniWaanze na Mkapa kwanza.
Mkuu umezungumza vyema lakini unapokuja kwenye swala la vyama nafikiri huko ni kupana sana, sababu kote wapigaji hawakosekani mi nafikiri kwa maslahi ya taifa inapendeza kusapoti kaz za wazalendo wa kweli pasi na kujali itikadi za vyamaNi hatari sana..hili jinamizi ni la mda mrefu na lina chain ndefu saana ya wapigaji,sio mtu mmoja..ni wizara na taasis zake zinahusika kwa uwazu kabisa,haihitaji kuwa msomi kunusa huu uozo,inawezekana kabisa walipata baraka kutoka "juu"..haiwezekani pesa nyingi kiasi hiki zikapigwa bila mkulu kujua,ndio mana huwa naamini,ili Tz iendelelee,dude fisiem lizikwe kwanza,ni genge la wezi wapiga dili...wasiokuwa na uchungu na maisha ya mtu wa chini...hatari sana.
SawaSio kirahisi rahisi mnavyodhani
Kwahiyo wanyongwe sio?Hii nchi inapaswa kuongozwa kwa Torati au Sharia. In sha Allah tutafikia malengo. Hon. Magufuri be blessed.
Tichaaaaaa sana kamanda.JF no 1.poa mkuu amani
na aliye zindua kivuko dar bagamoyo naye ahojiwe.View attachment 522359
Kumbe toka 2004 tulikuwa tuna haki ya kimkataba ya kuachana na hili jinamizi, lakini mtu anapendekeza kutuhonga punguzo la Capacity Charges toka billioni 5.2 mpaka billioni 2.6 ili tusiitumie ile haki yetu ya kimkataba ya kuachana nao, kwakuwa mpaka leo hawa IPTL wapo, inamaana huyo alieombwa alikubali kwa maslahi yake binafsi badala ya kuangalia utaifa. Sasa huyo alieomba na huyo alieombwa, wanyongwe wote kwa presidential decree.
=====================================
UPDATE: Rais JPM ameagiza mawaziri waliohusika na utiaji saini mikataba ya kinyonyaji ya madini na ACACIA iliyopelekea upotevu wa matrillioni washughulikiwe kwa mujibu wa sheria. Waziri mwenyewe ndio huyo Daniel Yona anaetajwa kwenye hiyo document. Kwakuwa pia amehusika kulitia hasara taifa kupitia IPTL, nazidi kutilia mkazo anyongwe kwa makosa yote mawili
D u u u !View attachment 522359
Kumbe toka 2004 tulikuwa tuna haki ya kimkataba ya kuachana na hili jinamizi, lakini mtu anapendekeza kutuhonga punguzo la Capacity Charges toka billioni 5.2 mpaka billioni 2.6 ili tusiitumie ile haki yetu ya kimkataba ya kuachana nao, kwakuwa mpaka leo hawa IPTL wapo, inamaana huyo alieombwa alikubali kwa maslahi yake binafsi badala ya kuangalia utaifa. Sasa huyo alieomba na huyo alieombwa, wanyongwe wote kwa presidential decree.
=====================================
UPDATE: Rais JPM ameagiza mawaziri waliohusika na utiaji saini mikataba ya kinyonyaji ya madini na ACACIA iliyopelekea upotevu wa matrillioni washughulikiwe kwa mujibu wa sheria. Waziri mwenyewe ndio huyo Daniel Yona anaetajwa kwenye hiyo document. Kwakuwa pia amehusika kulitia hasara taifa kupitia IPTL, nazidi kutilia mkazo anyongwe kwa makosa yote mawili
huu ni inafiki tuu...huwezi kutenganisha maamuzi ya waziri na rais aliyemteua...huwezi kamwe...maamuzi ya majaliwa yatofautiane na ya magufuli! nazani nimeelewekaView attachment 522359
Kumbe toka 2004 tulikuwa tuna haki ya kimkataba ya kuachana na hili jinamizi, lakini mtu anapendekeza kutuhonga punguzo la Capacity Charges toka billioni 5.2 mpaka billioni 2.6 ili tusiitumie ile haki yetu ya kimkataba ya kuachana nao, kwakuwa mpaka leo hawa IPTL wapo, inamaana huyo alieombwa alikubali kwa maslahi yake binafsi badala ya kuangalia utaifa. Sasa huyo alieomba na huyo alieombwa, wanyongwe wote kwa presidential decree.
=====================================
UPDATE: Rais JPM ameagiza mawaziri waliohusika na utiaji saini mikataba ya kinyonyaji ya madini na ACACIA iliyopelekea upotevu wa matrillioni washughulikiwe kwa mujibu wa sheria. Waziri mwenyewe ndio huyo Daniel Yona anaetajwa kwenye hiyo document. Kwakuwa pia amehusika kulitia hasara taifa kupitia IPTL, nazidi kutilia mkazo anyongwe kwa makosa yote mawili
Mkapa nae ashughulikiwe?huu ni inafiki tuu...huwezi kutenganisha maamuzi ya waziri na rais aliyemteua...huwezi kamwe...maamuzi ya majaliwa yatofautiane na ya magufuli! nazani nimeeleweka
Mkapa nae ashughulikiwe?
if wishes were horses !!Mkapa nae ashughulikiwe?