Ndiyo! Namaanisha mkoa mpya wa Butiama.
Hivi hakuna Wazalendo wa kuomba kuanzishwa huu mkoa kama kielelezo cha kumuenzi Baba wa Taifa hili?
Twajua hakuwa Mbinafsi, na hakutaka kujipendelea licha ya kuwa na uwezo huo! Leo tunaona uzalendo sehemu fulani kuwa mkoa kutokana na mihemko sijui ni ya msiba ama ubinafsi ulioasisiwa na mtu fulani?
Kwa dhati kabisa, naomba nipendekeze Mkoa Mpya huu wa Butiama kwani una kila sifa ya kuwa Mkoa. Naomba hata mkuu wa mkoa wa Manyara uunge mkono Hoja hii. Naomba wakaazi wa maeneo hayo mjitokeze na kupeleka maombi haya serikalini.
Mkoa huu uundwe na Musoma Vijijini yote, Serengeti, Bunda, sehemu ya Wilaya ya Meatu, na hadi sehemu ya Wilaya ya Mbulu!
Naomba kuwasilisha!
Hivi hakuna Wazalendo wa kuomba kuanzishwa huu mkoa kama kielelezo cha kumuenzi Baba wa Taifa hili?
Twajua hakuwa Mbinafsi, na hakutaka kujipendelea licha ya kuwa na uwezo huo! Leo tunaona uzalendo sehemu fulani kuwa mkoa kutokana na mihemko sijui ni ya msiba ama ubinafsi ulioasisiwa na mtu fulani?
Kwa dhati kabisa, naomba nipendekeze Mkoa Mpya huu wa Butiama kwani una kila sifa ya kuwa Mkoa. Naomba hata mkuu wa mkoa wa Manyara uunge mkono Hoja hii. Naomba wakaazi wa maeneo hayo mjitokeze na kupeleka maombi haya serikalini.
Mkoa huu uundwe na Musoma Vijijini yote, Serengeti, Bunda, sehemu ya Wilaya ya Meatu, na hadi sehemu ya Wilaya ya Mbulu!
Naomba kuwasilisha!