Kitumbo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 549
- 185
Mkuu,
Mi naonaga hakuna haja ya kushindana wala kutoleana kwa maneno meengi kwa ajili ya hizi dini zilizokuja na meli.
Wewe leo unaweza ukakomaa kabisa Yesu ndio mwenyewe, hakuna mwengine zaidi yake, na bila yeye basi mtu ahera inamuhusu.
Shark
Lakini je ungekua umezaliwa Uislamuni ungetetea hayo?
So kigezo ni familia ulipozaliwa, au reality?
Shark, huu ndio ukweli ambao waafrica tulio wengi hatuzitumi akili zetu kufikiri... tumepokea hizi dini na wachache sana wanazisoma na kuzifuata kutokana na kuzielewa bali wengi tuma tu kwa vile tumezaliwa na kukuta wazazi wetu wamo humo. matokeo yake tumebaki kuwa "fanatics" na inakuwa kigezo cha kutugawa na kubaguana.
Utaona hata comments za wachangiaji wengine hapo juu, ndio maana hata haya yanayotokea mbagala na kwingineko africa yanatokea... poor african, we don't use our brains!