Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Hili ni endekezo langu kwa viongozi wa CHADEMA kuhusu kufunga kampeni jimbo la Kinondoni.
Wawashieni moto CCM kwa kufunga kampeni zenu kwa watu wafuatao:-
Maalim Seif
Sheikh Ponda kwa ajili ya Dua
Babu Duni
Sugu
Freeman
Heche
Msigwa
Na wabunge wote wa majimbo ya DSM
n.k
Pia itapendeza sauti ya shujaa wa Tanzania, Tundu Lissu ikarekodiwa na kurushwa live uwanjani.
Pendekezo hili likifanyiwa kazi na kuwa Live kwenye mitandao ya kijamii Mtulia na genge lake wanarudi kulima nyanya Jumapili ijayo.
Wawashieni moto CCM kwa kufunga kampeni zenu kwa watu wafuatao:-
Maalim Seif
Sheikh Ponda kwa ajili ya Dua
Babu Duni
Sugu
Freeman
Heche
Msigwa
Na wabunge wote wa majimbo ya DSM
n.k
Pia itapendeza sauti ya shujaa wa Tanzania, Tundu Lissu ikarekodiwa na kurushwa live uwanjani.
Pendekezo hili likifanyiwa kazi na kuwa Live kwenye mitandao ya kijamii Mtulia na genge lake wanarudi kulima nyanya Jumapili ijayo.