sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,521
- 7,368
Napendekeza wadau wa sanaa pamoja na familia ya Professor Jay wakae chini waandae tamasha la kukusanya pesa za kusaidia matibabu ya Professor.
Jay sio tu ni msanii mkali lakini pia anaishi vizuri sana na jamii yake...Ni yule brother fulani hanaga noma hana makuu anaishi vizuri na wadau wote kwenye sanaa na nje ya sanaa.
Lakini pia Jay kachora ramani ya huu muziki wa Bongo Fleva, bado tuna deni la kumlipa Jay kwenye muziki kaitoa sanaa mbali sana.
So, lipigwe bash fulan la kilijendi mimi kwa uzoefu wangu wa hii industry inaweza patikana pesa ya kumuuguza hata mwaka mzima.
Milioni 4 kila wiki kiukweli familia haiwezi kumudu hiyo gharama hata kama wana akiba kiasi gani.
Kama Ruge alichemka akapitisha bakuli, why not Prof?
jaytunakuzimia@yahoo.com
Jay sio tu ni msanii mkali lakini pia anaishi vizuri sana na jamii yake...Ni yule brother fulani hanaga noma hana makuu anaishi vizuri na wadau wote kwenye sanaa na nje ya sanaa.
Lakini pia Jay kachora ramani ya huu muziki wa Bongo Fleva, bado tuna deni la kumlipa Jay kwenye muziki kaitoa sanaa mbali sana.
So, lipigwe bash fulan la kilijendi mimi kwa uzoefu wangu wa hii industry inaweza patikana pesa ya kumuuguza hata mwaka mzima.
Milioni 4 kila wiki kiukweli familia haiwezi kumudu hiyo gharama hata kama wana akiba kiasi gani.
Kama Ruge alichemka akapitisha bakuli, why not Prof?
jaytunakuzimia@yahoo.com