antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,577
- 119,968
Ha ha ha...Makonda tena! Yani unaruka mavi unakanyaga mkojo, hawa wachunga ng'ombe hatuwataki tena.
Hata wasipotakiwa wanajichomeka kupitia akina Mahera
Ha ha ha...Makonda tena! Yani unaruka mavi unakanyaga mkojo, hawa wachunga ng'ombe hatuwataki tena.
Wewe hukuona ile picha Bashite akimfunga viatu riz na akaula? Sasa mleta mada kaamua kulamba viatu kabisa.Nakazia hiyo comment hapo juu.
Mleta mada jifunze ku balance shobo, unless utuambie Ridhi ndio kakutuma.
Yule ni super dealer.Unataka wote humu tuuze madawa ya kulevya.
Cocaine itakuwa Huru sana nchini na hata Drug Barons wengi wataomba Tanzania iwe Makao Makuu yao, ila wenye Wake wazuri tutakoma zaidi.
Wanabodi,
Miaka mitano ya Rais John Pombe Magufuli si mingi. Itaisha muda si mrefu.
Ninajua 2015 vijana wengi wa CCM walijitokeza kuutaka Urais wakiwemo January Makamba, Mwigulu Nchemba hata Hamisi Kigwangala lakini wote waliangukia pua baada ya kuachwa kwenye mchujo.
Kwa mwaka 2025 kwa mtazamo na maoni yangu twende na kijana Ridhiwan Kikwete. Kijana huyu ni mnyenyekevu, hodari, mchapakazi, msomi, muumini wa haki za binadamu na haiba ya kiuongozi.
Riz amezaliwa na kukulia familia ya utawala na hivyo kuwa na uzoefu na si wa kuokota dodo chini ya mwembe. Anatufaa maana hana tamaa ya madaraka.
#RK2025
Kenyata kweli ndiye mfano?niliona kwenye gazeti la huko Kenya diwani aliingia matatani kwa kuwaomba waliokaribu na Uhuru wamwambie aache kutumia hashishi.Kwani amewahi kuongoza lini hayo yakitokea? Tazama Zanzibar chini ya Hussein itakavyopaa. Kiongozi huandaliwa. Mtazame Kenyatta.
Yakokoyo
Wanabodi,
Miaka mitano ya Rais John Pombe Magufuli si mingi. Itaisha muda si mrefu.
Ninajua 2015 vijana wengi wa CCM walijitokeza kuutaka Urais wakiwemo January Makamba, Mwigulu Nchemba hata Hamisi Kigwangala lakini wote waliangukia pua baada ya kuachwa kwenye mchujo.
Kwa mwaka 2025 kwa mtazamo na maoni yangu twende na kijana Ridhiwan Kikwete. Kijana huyu ni mnyenyekevu, hodari, mchapakazi, msomi, muumini wa haki za binadamu na haiba ya kiuongozi.
Riz amezaliwa na kukulia familia ya utawala na hivyo kuwa na uzoefu na si wa kuokota dodo chini ya mwembe. Anatufaa maana hana tamaa ya madaraka.
#RK2025
Kenyatta ni Mwanadiplomasia na Democratic aliyeivaKenyata kweli ndiye mfano?niliona kwenye gazeti la huko Kenya diwani aliingia matatani kwa kuwaomba waliokaribu na Uhuru wamwambie aache kutumia hashishi.
Hajanipa.Ameshakupa ya chai bwana ridhiwani
Wanabodi,
Miaka mitano ya Rais John Pombe Magufuli si mingi. Itaisha muda si mrefu.
Ninajua 2015 vijana wengi wa CCM walijitokeza kuutaka Urais wakiwemo January Makamba, Mwigulu Nchemba hata Hamisi Kigwangala lakini wote waliangukia pua baada ya kuachwa kwenye mchujo.
Kwa mwaka 2025 kwa mtazamo na maoni yangu twende na kijana Ridhiwan Kikwete. Kijana huyu ni mnyenyekevu, hodari, mchapakazi, msomi, muumini wa haki za binadamu na haiba ya kiuongozi.
Riz amezaliwa na kukulia familia ya utawala na hivyo kuwa na uzoefu na si wa kuokota dodo chini ya mwembe. Anatufaa maana hana tamaa ya madaraka.
#RK2025
Nipo nnje ya mada...
HII FOLENI YA UHASIBU INAKERA SANA..HAWA ASKARI WANARUHUSU UPANDE MMOJA TU
Sent using Jamii Forums mobile appuk