Napendekeza kwenu kuwa Ridhiwani Kikwete atatufaa sana Urais baada ya Magufuli

Mkuu naungana nawewe kwahili pasipo shaka yoyote ridhi one anatufaa 2025.

Ila pliz mkuu mambo sio mazuri kama kuna masurufusurufu naomba namimi nikumbuke pm.
 

Wanabodi,

Miaka mitano ya Rais John Pombe Magufuli si mingi. Itaisha muda si mrefu.

Ninajua 2015 vijana wengi wa CCM walijitokeza kuutaka Urais wakiwemo January Makamba, Mwigulu Nchemba hata Hamisi Kigwangala lakini wote waliangukia pua baada ya kuachwa kwenye mchujo.

Kwa mwaka 2025 kwa mtazamo na maoni yangu twende na kijana Ridhiwan Kikwete. Kijana huyu ni mnyenyekevu, hodari, mchapakazi, msomi, muumini wa haki za binadamu na haiba ya kiuongozi.

Riz amezaliwa na kukulia familia ya utawala na hivyo kuwa na uzoefu na si wa kuokota dodo chini ya mwembe. Anatufaa maana hana tamaa ya madaraka.

#RK2025
Cocaine itakuwa Huru sana nchini na hata Drug Barons wengi wataomba Tanzania iwe Makao Makuu yao, ila wenye Wake wazuri tutakoma zaidi.
 
HII NCHI MTU YOYOTE ANAWEZA KUIONGOZA HATA PIERE LIQUID.

KAMA HUYU KILAZA AMEWEZA KUKAA IKULU BASI MTU YOYOTE ANAWEZA KUONGOZA.
 
Kwani amewahi kuongoza lini hayo yakitokea? Tazama Zanzibar chini ya Hussein itakavyopaa. Kiongozi huandaliwa. Mtazame Kenyatta.
Kenyata kweli ndiye mfano?niliona kwenye gazeti la huko Kenya diwani aliingia matatani kwa kuwaomba waliokaribu na Uhuru wamwambie aache kutumia hashishi.
 

Wanabodi,

Miaka mitano ya Rais John Pombe Magufuli si mingi. Itaisha muda si mrefu.

Ninajua 2015 vijana wengi wa CCM walijitokeza kuutaka Urais wakiwemo January Makamba, Mwigulu Nchemba hata Hamisi Kigwangala lakini wote waliangukia pua baada ya kuachwa kwenye mchujo.

Kwa mwaka 2025 kwa mtazamo na maoni yangu twende na kijana Ridhiwan Kikwete. Kijana huyu ni mnyenyekevu, hodari, mchapakazi, msomi, muumini wa haki za binadamu na haiba ya kiuongozi.

Riz amezaliwa na kukulia familia ya utawala na hivyo kuwa na uzoefu na si wa kuokota dodo chini ya mwembe. Anatufaa maana hana tamaa ya madaraka.

#RK2025
Yakokoyo
 
Kenyata kweli ndiye mfano?niliona kwenye gazeti la huko Kenya diwani aliingia matatani kwa kuwaomba waliokaribu na Uhuru wamwambie aache kutumia hashishi.
Kenyatta ni Mwanadiplomasia na Democratic aliyeiva
 
umetumwa? na pete mbilimbili mikono yote inaashiria nini? wananchi wa tanzania watachagua rais umetmwa uwapendekezee? vyama vyao vitawaleta tuwapigie kura sasa wakati huo twambie jambo lako sasa ni hapa kazi tu
 

Wanabodi,

Miaka mitano ya Rais John Pombe Magufuli si mingi. Itaisha muda si mrefu.

Ninajua 2015 vijana wengi wa CCM walijitokeza kuutaka Urais wakiwemo January Makamba, Mwigulu Nchemba hata Hamisi Kigwangala lakini wote waliangukia pua baada ya kuachwa kwenye mchujo.

Kwa mwaka 2025 kwa mtazamo na maoni yangu twende na kijana Ridhiwan Kikwete. Kijana huyu ni mnyenyekevu, hodari, mchapakazi, msomi, muumini wa haki za binadamu na haiba ya kiuongozi.

Riz amezaliwa na kukulia familia ya utawala na hivyo kuwa na uzoefu na si wa kuokota dodo chini ya mwembe. Anatufaa maana hana tamaa ya madaraka.

#RK2025

Rais wa wapi? JamiiForum au?
 
Ridhiwani ni kundi moja la Bashite na January Makamba hawafai kwa ndimu wala kwa chumvi
 
Badala ya kujadili kuandikwa kwa katiba mpya yenye maslahi mapana kwa watanzania, nyie bado mnafikiri kugawana vyeo
 
Back
Top Bottom