baraka moze
Member
- Apr 21, 2012
- 99
- 3
Na pia mkuu wa mkoa achaguliwe kwa kupigiwa kura kipindi cha uchaguzi mkuu
hili pendekezo lako ni sawa na kusema "napendekeza serikali ipunguze anasa (V8)"!Na pia mkuu wa mkoa achaguliwe kwa kupigiwa kura kipindi cha uchaguzi mkuu
siyo DC na RC tu ambao hawatakiwi hata manaibu mawaziri na makamu wa rais hawana kazi wanayofanya, pili mawaziri wasiwe wabunge ili bunge liweze kuiwajibisha serikali vizuri na hili tulivalie njuga hasa kwenye hii katiba mpya.