Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,867
Kama Mh. Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania alishauri Serikali isipeleke pesa za maendeleo katika Majimbo ya wale Wabunge waliopiga kura za hapana katika Bajeti ya mwaka 2017/2018 basi tunamuomba kwa kauli hiyo hiyo aliotumia basi pia awaambie Serikali wasiende kukusanya kodi kwenye Majimbo hayo kwa mwaka 2017/2018 simple like that...!!!