Napendekeza kama Serikali haipeleki pesa kwa majimbo ya upinzani basi wasitoze kodi maeneo hayo

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,867
Kama Mh. Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania alishauri Serikali isipeleke pesa za maendeleo katika Majimbo ya wale Wabunge waliopiga kura za hapana katika Bajeti ya mwaka 2017/2018 basi tunamuomba kwa kauli hiyo hiyo aliotumia basi pia awaambie Serikali wasiende kukusanya kodi kwenye Majimbo hayo kwa mwaka 2017/2018 simple like that...!!!
 
Tumezeeka kila kitu kwa hiyo ni mfumo wa akili unashida. Kwa sisi tuliojitoa akili ni kawaida kwa maneno kama haya wala msishangae ndo hulka yetu ulioko juu ya sheria
 
It is true.....

Kama kauli ya 'kibaguzi' ya Ndugai iweze kufanya kazi, ingebidi ajiongeze kidogo kwa kusema majimbo hayo ambayo hayatapata mgawo wa bajeti ya maendeleo kwenye maeneo hayo, wananchi wa majimbo hayo pia hawatapaswa kulipa kodi ya aina yoyote....
 
Bahat
It is true.....

Kama kauli ya 'kibaguzi' ya Ndugai iweze kufanya kazi, ingebidi ajiongeze kidogo kwa kusema majimbo hayo ambayo hayatapata mgawo wa bajeti ya maendeleo kwenye maeneo hayo, wananchi wa majimbo hayo pia hawatapaswa kulipa kodi ya aina yoyote....
Bahati mbaya majimbo yote ya upinzani ni mijini na ndio kunakokusanywa kodi nyingi
 
nyubu bwana hivi serikali ikiyaacha hayo majimbo mnaweza kuyahudumia
Nyumbu wewe mjinga usiye na uuwezo wa kufikiri. Nasikitika nimebonyeza like badala ya reply kwa sababu nilitaka kuharakia kukujibu nyumbu ni wewe kwa sababu huna akili. Mmekuwa na tabia hii ya kuita wafuasi wa chadema nyumbu, ili hali kiuhalisia nyumbu ni nyinyi ccm msiopenda haki wala busara. Narudia nyumbu ni wewe..
 
Nyumbu wewe mjinga usiye na uuwezo wa kufikiri. Nasikitika nimebonyeza like badala ya reply kwa sababu nilitaka kuharakia kukujibu nyumbu ni wewe kwa sababu huna akili. Mmekuwa na tabia hii ya kuita wafuasi wa chadema nyumbu, ili hali kiuhalisia nyumbu ni nyinyi ccm msiopenda haki wala busara. Narudia nyumbu ni wewe..
tulia binadamu mshirikina na malaya wenu waeambiwa wakipata mimba ndo kwaheriii
 
25 Reactions
Reply
Back
Top Bottom