Napendekeza kama Serikali haipeleki pesa kwa majimbo ya upinzani basi wasitoze kodi maeneo hayo

Me hata cjaelewa serekali inanisaidiaje maana kila siku naona wanakuja kuchukua kodi tu kwangu. Halafu nikihitaji huduma za kijamii bado nazilipia sasa ndo nn
tulia wewe
barabara unalipia
hospitali zmejengwa na nani
shule je
miundombinu ya umeme je?
 
Wacha watukamue kodii baada ya miaka kadhaa wananchi wachoke tuanze tifuana waseme upinzan umeharibu nchi
 
Itabidi na Mwadui liwe jimbo LA upinzani Tena tuanzishe chama chetu (cha jumbo letu) Tu. Na jina LA chama kiwe ni Chama cha Wabheshi Mwadui (CHAWAMWA) Makusanyo yote ya mgodi kwetu
 
tulia wewe
barabara unalipia
hospitali zmejengwa na nani
shule je
miundombinu ya umeme je?
Hujielewi wewe..hakuna kitu serikali yako inatoa bure! Road licence kazi yake nn? Units za luku unapewa bure? Hospitalini unatibiwa bure? Elimu unasoma bure? Jiulize vizuri dada ndo uje mbele za wanaume kutema pumba zako.
 
Hujielewi wewe..hakuna kitu serikali yako inatoa bure! Road licence kazi yake nn? Units za luku unapewa bure? Hospitalini unatibiwa bure? Elimu unasoma bure? Jiulize vizuri dada ndo uje mbele za wanaume kutema pumba zako.
nyie ndo watu mnaotumia ma.tako kufikiria baada mtumie vichwa mnavyotumia kujaza habari za kina mbowe tu
 
Tunaishi kwa kukomoana..

Kila kitu kinafanyika kisiasa nni vigumu kuendelea ..

Umoja wa kitaifa na uzalendo ni muhimu.
 
Spika alitema statement ya kijinga haijawahi tokea toka wakati wa uhuru.
Linalosikitisha zaidi ni kwamba wapo Watanzania wenzetu ambao kwa upumbavu wao wanaunga mkono kauli za hovyo, za kijinga na za kitoto kama hizi. Ni kwamba mswada wowote unaofikishwa bungeni na kupigiwa kura bungeni unatakiwa upite kwa asilimia 100% la sivyo walioupinga mswada huo inabidi watengwe.

Je baada ya hapo Watanzania ambao walimnyima kura John Pombe Magufuli, wategemee nini? Kitu gani kitazuia wapinzani kunyimwa haki zao zote za msingi kama raia wa nchi hii? Taratibu tunaona baadhi ya hizo haki za msingi kama zilivyooainishwa kwenye Katiba zikianza kummomonyolewa moja baada ya nyingine.

Kauli ya spika si tu ya kijinga, ni ya hatari kwa usalama wa taifa kwani inapandikiza mbegu za chuki zenye lengo la kulisambaratisha taifa. Ukikuta watu wote wanakubaliana kwa kila kitu nyakati zote, ujue hapo kuna tatizo...Reasonable people of goodwill will not agree on everything all the time.
 
Wewe ndio great thinker wa mwezi huu
Kama Mh. Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania alishauri Serikali isipeleke pesa za maendeleo katika Majimbo ya wale Wabunge waliopiga kura za hapana katika Bajeti ya mwaka 2017/2018 basi tunamuomba kwa kauli hiyo hiyo aliotumia basi pia awaambie Serikali wasiende kukusanya kodi kwenye Majimbo hayo kwa mwaka 2017/2018 simple like that...!!!
Sijajua ni kwa nini viongozi wetu wanajua kujisahau haraka hivi punde wapatapo madaraka!Na ndio maana hawataki katiba mpya itakayo toa fursa ya kushukhulikiwa!Kwa kiongozi wa mhimili mkubwa kama bunge,hiyo kauli ni ya kibaguzi kabisa!Na by the way ameamua tu kuthibitisha kile wanachofanyiwa watz walioko mjimbo ya upinzani,kwani hela ya miradi ya maendeleo hawapati na wakipata wanapata kidogo tena kwa kucheleweshewa!hata ile hela ya mifuko ya majimbo wameanza kukatwa!Lkn wanasahau kuwa karibu halamashauri na manispaa zote zenye vyanzo vingi vya mapato ya serikali yako chini ya upinzani ambavyo wangeweza kujiletea maendeleo ya kutosha kupitia vyanza hivyo kama wangeachiwa wajitegemee!
Na je viongozi wa upinzani nao ktk majimbo yao wakiamua kuwachochea wananchi kutolipapa kodi maana haziwannufaishi,hapo itakua je!Yani huu ni ubaguzi full wa kuwaona wapinzani kama ni maadui wakti wao ndio wanaoibua haya maovu na madudu yote yaliyofanywa watu wao!
 
Ukitaka kuwa mwehu basi, kubali kuwa na kadi ya chama, hakuna mtanzania mwenye akili na asiye na chama atakubali kuunga mkono kauli ya baba Ndugai.... Mh spika kwa ufupi pia kauli hixi zinawachanganya walimu na wanafunzi ktk somo LA civics na general studies.... Embu tuwe tuna tumia nafasi kuassess multiplier effects za kauli zetu kabla ya kunena..... Itasaidia sana..... Wana ccm pia kupitia party cocus embu jaribuni kubadili mitazamo na kauli zinazowachanganya watanzania... Chukueni mfano wa mh lukuvi... Huyu mh anapendwa na kila mtanzania mwenye akili.... Zile kauli za ndioooooo.... Zipunguzeni
 
It is true.....

Kama kauli ya 'kibaguzi' ya Ndugai iweze kufanya kazi, ingebidi ajiongeze kidogo kwa kusema majimbo hayo ambayo hayatapata mgawo wa bajeti ya maendeleo kwenye maeneo hayo, wananchi wa majimbo hayo pia hawatapaswa kulipa kodi ya aina yoyote....
Au Tu aseme kuwa majimbo hayo kuanzia sasa SI sehemu ya Tanzania
 
Pia nilitaka na bajeti kivuli ya upinzani ipigiwe kura ili tuone kama ccm wangeiunga mkono ili hiyo ndio itekelezeke. Hivi Ndugai anapotaka wapinzani waunge mkono bajeti ya serekali ni kwamba mapendekezo yote ya wapinzani wameyachukua? Sasa iweje mapendekezo yao yote hawajayachukua lakini wanataka bajeti yote ya serekali waiunge mkono?

Mbona hata wananchi wote hawakumpa rais wa nchi kura lakini ana wajibu wa kupeleka maendeleo nchi nzima? Tena sio ombi ni lazima.
 
Kama Mh. Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania alishauri Serikali isipeleke pesa za maendeleo katika Majimbo ya wale Wabunge waliopiga kura za hapana katika Bajeti ya mwaka 2017/2018 basi tunamuomba kwa kauli hiyo hiyo aliotumia basi pia awaambie Serikali wasiende kukusanya kodi kwenye Majimbo hayo kwa mwaka 2017/2018 simple like that...!!!
Why? Si wanalindwa? Si wanatum0ia barabara za TANU na CCM? Na kusikiliza Radio Tanzania na ITV zinazotumia umeme wa CCM. Na watoto wao wanasoma shule za serkali na wakipata mimba wanatibiwa zahanati za Chama. Kodi ni lazima. Ni kutii sheria bila shurti.
 
Back
Top Bottom