Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,363
- 5,108
Habari za uzima Ndugu zangu poleni na pilika za hapa na pale katika kutafuta riziki hasa katika kipindi hiki tunakabikiwa na changamoto kubwa za kiuchumi.
Kwanza nipende kuishukuru serikali kupitia wizara husika kuwajali wafanya biashara wadogo hadi likapatikana wazo la kuwajengea jengo la kisasa la Machinga Complex.
Tangu jengo hilo lizinduliwe nadhani halijawai kutumika sawasawa na ilivyokua kusudio zaidi limekua sehemu ya watu wasio na pa kwenda mjini kukaa, kuvuta bangi godown nk.
Kutokana na changamoto ya Huduma za afya hapa jijini dar es salaam naiomba serikali kupitia mamlaka husika ikiwemo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Tamisemi, Wizara ya Viwanda na Biashara, hilo jengo mlibadilishie matumizi liwe tu hospitali na iitwe Jakaya Mrisho Kikwete, nadhani itafaa saana.
Nawasilisha
Kwanza nipende kuishukuru serikali kupitia wizara husika kuwajali wafanya biashara wadogo hadi likapatikana wazo la kuwajengea jengo la kisasa la Machinga Complex.
Tangu jengo hilo lizinduliwe nadhani halijawai kutumika sawasawa na ilivyokua kusudio zaidi limekua sehemu ya watu wasio na pa kwenda mjini kukaa, kuvuta bangi godown nk.
Kutokana na changamoto ya Huduma za afya hapa jijini dar es salaam naiomba serikali kupitia mamlaka husika ikiwemo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Tamisemi, Wizara ya Viwanda na Biashara, hilo jengo mlibadilishie matumizi liwe tu hospitali na iitwe Jakaya Mrisho Kikwete, nadhani itafaa saana.
Nawasilisha