Fedor von Bock
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,321
- 2,149
Shaka hamna ila serikal ifanye ili kuondoa mashaka kwa watu wenye kutilia shaka
Luka 18:27 BHN
Yesu akajibu, “Yasiyowezekana kwa binadamu, yanawezekana kwa Mungu.”MH. MAGUFULI ameisha aga dunia tumuombee kwa mungu,kubalini tuendelee na maisha mengine ndugu zangu.