Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Shaka hamna ila serikal ifanye ili kuondoa mashaka kwa watu wenye kutilia shaka

Luka 18:27 BHN​

Yesu akajibu, “Yasiyowezekana kwa binadamu, yanawezekana kwa Mungu.”

MH. MAGUFULI ameisha aga dunia tumuombee kwa mungu,kubalini tuendelee na maisha mengine ndugu zangu.
 
Kwanza acha uongo na kukurupuka (mfano kusema moshi ulimtokea akiwa Mtwara, kusema watu wanasema kumbe ni wewe mwenyewe na...)

Pili acha kulazimisha jagi liingie kwenye kikombe mtu akifa kafa tu ukiunda tume kisha majibu watakayotoa yatasaidia nini, labda kwenye hakuna
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.

Mkiwa na hamu ya 'kuolewa' mnakuwa na gubu sana nyie watu.
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Wakati sisi tunashukuru, wewe unataka afufuliwe! Hovyo kweli
 
Wengine tunapendekeza iundwe tume huru ichunguze watu aliyowauwa na wale aliyowapora mali zao hata hivyo kazi ya Mungu haina makosa na jina lake lihimidiwe.
 
Wengine tunapendekeza iundwe tume huru ichunguze watu aliyowauwa na wale aliyowapora mali zao hata hivyo kazi ya Mungu haina makosa na jina lake lihimidiwe.
Kwa uandishi huu!! Wewe si mwenze2
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Iundwe kwanza ya
Ben Sanane
Anzory Gwanda
Akwilin
Alphonso mawazo n co.
Iundwe pia ya kuchunguza manunuzi haramu ya ndege!
Shambulio la lisu.
Nk
 
Wewe ni mpumbavu na mzandiki!

Kwanini walipokuwa wakitekwa watu na kuuawa ulikuwa hutaki tume huru ya kuchunguza matukio hayo?
Iundwe kwanza tume ya kuchunguza aliyemteka Ben saanane, Azor gwanda, waliomshambulia Mh Lisu, uchunguzi juu ya zile maiti zilizokuwa zinaonekana fukweni zikiwa kwenye viroba pamoja na mateso waliyokuwa wakipewa wafungwa wa kisiasa kipindi cha magufuli.
Hakuna mtanzania mwenye haki zaidi ya mwingine! Kama ni uchunguzi tutaanza kwa namba...

Nyie watu acheni ubaguzi na kujiona wa muhimu kuliko mliokuwa mkiwapoteza
Tanga lina tapatapa
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.

Ungeunda Wewe mwenye hiyo Shida sisi tumwamini Rais wetu Mama Samia alivyotuambia
 
sihusiki katika uchunguzi, serikali iliyoko madarakani ndo wahusika.
Kama huusiki basi sikiliza wahusika. wamekueleza ni tatizo la moyo lililomsumbua kwa miaka 10 ndo sababu ya kifo sasa kama wewe unajua ambayo samia na serikali yake hawajui ndo useme bila kumung'unya maneno tukusikie.
 
Kama akili zenyewe ndio hizi ndio maana meko aliweza kutuburuza hovyo,meko ameendesha nchi huku akivunja katiba mara kwa mara.Mnahangaika na mtu ambae alikua hajali afya yake,mtu anaambiwa ili kujikinga na corona unatakiwa uvae barakoa yeye hataki,kama ukiwaambiwa kilichomuua meko ni corona,wewe utakataa?
 
Back
Top Bottom