LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,145
- 11,186
Maoni yangu kama mtanzania napendekeza ili mtu awe sheikh angalau awe na elimu Dunia, kuanzia ngazi ya Degree iwe ya mambo ya dini au ujuzi mwingine, kama wafanyavyo wenzetu ili mtu awe mchungaji au padre basi awe na elimu fulani
Hii itasaidia sana, Nawasilisha.......
Hii itasaidia sana, Nawasilisha.......