Coffee
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,290
- 1,277
Kama ChattleHapana waende pia wakajenge nje ya Dar. Dar pametosha sasa
Kama ChattleHapana waende pia wakajenge nje ya Dar. Dar pametosha sasa
Nakuunga mkono,maana mshindi wa 2020 ameshapatikana, ila nasisi huku vijijini tukumbukwe, serikali inafanya mazuri mengi lakini sehemu nyingi vijijini tumesahaulika na serikali imetia nguvu nyingi mijini...sasa hayo mabilioni ambayo yangetumika kwa uchaguzi wasiyapeleke Dar, Dodoma,Arusha au Mwanza mijini tu watusaidie hata sisi huku vitongojini watulimie walau barabara, watuchimbie visima na watupatie umeme.
[/QUOThamia mjini upo kijiji gani?
Who cares?Ukijenga fly over Morocco Ina maana kituo cha mafuta cha total na nyumba za nhc, sehemu ya mwendokasi zitabomolewa?????
Ova
Nobody i guessWho cares?
Ugumu wa maisha vijijini unachangiwa na ukosefu wa tija katika usafirishaji mijini, jiulize how..?Kwanini usipendekeze hizo pesa zielekezwe kuleta maendeleo kijijini kwenu sitimbi?
Kwakuwa mwenyewe keshasema haondoki, ni kwanini tuchezee mabilioni kwenye huo uchaguzi, hivi hatuzionei huruma pesa zetu?
Napendekeza zikatumike kujenga flyover Mwenge na Morroco, hiyo inatija mara elfu.
Usiropoke, hakawii kufanya yule..Hiyo pesa iende chato, ikawekwe interchange ya maana
Mnajiwazia Dar es salaam tu, kwanini isijenge hospitali na kusambaza umeme mikoani?Kwakuwa mwenyewe keshasema haondoki, ni kwanini tuchezee mabilioni kwenye huo uchaguzi, hivi hatuzionei huruma pesa zetu?
Napendekeza zikatumike kujenga flyover Mwenge na Morroco, hiyo inatija mara elfu.
Pakiwa na ufanisi katika usafirishaji Dar hata huko mikoani panakuwa na unafuu kwenye bidhaa mbalimbali zitokazo huku..Mnajiwazia Dar es salaam tu, kwanini isijenge hospitali na kusambaza umeme mikoani?