Ili kuenzi Jitihada za Hayati Magufuli katika upanuzi wa barabara ya Morogoro kuanzia Kimara mwisho hadi maeneo ya Kibaha kwa njia 8, endapo ujenzi wa barabara hiyo utakamilika napendekeza kwa heshima na kwa kuzingatia jitihada kubwa aliyoifanya Hayati Magufuli basi barabara hiyo iitwe Magufuli badala ya Morogoro road.
Lakini pia ili kuboresha na kupendezesha mji nashauri barabara hiyo iwekewe taa za barabarani isiachwe gizani kwa kufanya hivyo itabadilisha mandhari ya Jiji.
Nashauri pia ni vyema Waziri wa Ujenzi, Waziri wa TAMISEMI na Mkuu wa mkoa wa DSM wafuatilie mradi huo kwa karibu na kutatua changamoto mapema kuliko kusubiria.
Nawasilisha.
Lakini pia ili kuboresha na kupendezesha mji nashauri barabara hiyo iwekewe taa za barabarani isiachwe gizani kwa kufanya hivyo itabadilisha mandhari ya Jiji.
Nashauri pia ni vyema Waziri wa Ujenzi, Waziri wa TAMISEMI na Mkuu wa mkoa wa DSM wafuatilie mradi huo kwa karibu na kutatua changamoto mapema kuliko kusubiria.
Nawasilisha.