DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Wanajamvi
Naomba kwanza nieleweke kuwa sina ukaribu wowote na kamanda Alfonce Mawazo zaidi ya kuifahamu vyema kazi anayoifanyia chadema kanda ya ziwa.
Kamanda Mawazo aliachana na kazi yake mkoani Arusha na kuhamia alipozaliwa kanda ya ziwa kuyasulubisha magamba na binafsi nimemfuatilia akikieneza chama ktk mikoa ya Mwanza,Kagera,Shinyanga,Simiyu na Mkoa wa Mara kwa usafiri wake binafsi.
Kamanda Mawazo aliachana na udiwani wa Sombetini kwa tiketi ya ccm na kuamua kueneza sumu dhidi ya chama chake cha zamani ccm.
Kazi anayoifanya kanda ya ziwa ni zaidi hata ya mbunge anayetoka kanda hiyo na amekuwa mahiri wa kujenga hoja hatua inayopelekea cdm kung'aa vijijini kanda ya ziwa.
Kijana huyu msomi toka busanda ana uwezo wa kulea chama kwa nafasi ya NAIBU KATIBU MKUU.
Naomba kwanza nieleweke kuwa sina ukaribu wowote na kamanda Alfonce Mawazo zaidi ya kuifahamu vyema kazi anayoifanyia chadema kanda ya ziwa.
Kamanda Mawazo aliachana na kazi yake mkoani Arusha na kuhamia alipozaliwa kanda ya ziwa kuyasulubisha magamba na binafsi nimemfuatilia akikieneza chama ktk mikoa ya Mwanza,Kagera,Shinyanga,Simiyu na Mkoa wa Mara kwa usafiri wake binafsi.
Kamanda Mawazo aliachana na udiwani wa Sombetini kwa tiketi ya ccm na kuamua kueneza sumu dhidi ya chama chake cha zamani ccm.
Kazi anayoifanya kanda ya ziwa ni zaidi hata ya mbunge anayetoka kanda hiyo na amekuwa mahiri wa kujenga hoja hatua inayopelekea cdm kung'aa vijijini kanda ya ziwa.
Kijana huyu msomi toka busanda ana uwezo wa kulea chama kwa nafasi ya NAIBU KATIBU MKUU.