mangosongoo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2016
- 257
- 456
Napenda wanaume wakisukuma sana wanaupendo wa dhati, nimeshudia tu kwa rafiki yangu, mpaka nimetamani.
WASUKUMA HONGERENI KWAKWELI.
WASUKUMA HONGERENI KWAKWELI.
kwanini wadhania hivyouje na id yako ya zamani
uje na id yako ya zamani
Kuna ugali wanatumia unaitwa udaga, ushauri labda na wewe utumie udaga tuuu utak
ua kama wao (ugali wa mihogo).
Yani mule muleAta wanawake wa kisukuma wazuri pia. . .umbo,miguu ya ukwel mixer sura nzuri
Ata wanawake wa kisukuma wazuri pia. . .umbo,miguu ya ukwel mixer sura nzuri
mwenyeji huyu katoa post kakimbia kaja na id ya zamani anajireply hapa hapa
Ni mgeni uyu
nina maono ndugukwanini wadhania hivyo
wachaga wanakuja shauri yako
Wasukuma mupoooooo
Mh
Wasukuma mupoooooo
Tatizo lenu ni washamba mixer wachafuAsanteeeeeeee umejuajeeeee?, proud to be sukuma girl
Hahahamwenyeji huyu katoa post kakimbia kaja na id ya zamani anajireply hapa hapa
ha ha haTatizo lenu ni washamba mixer wachafu
Vingine mnajitahidi