Napenda wale wote ambao wapo blind na ccm wanishawishi kwa hoja...nami nijiumge

MSATULAMBALI

Senior Member
Apr 1, 2012
187
55
Enyi watu mliofungwa akili na pepo la CCM, je, hiyo CCM mnayoipigia debe imeiletea manufaa gani nchi hii kwa miaka zaidi ya 50 iliyokuwa madarakani, hasa mkizingatia wingi wa rasilimali (madini, gesi, mafuta, uranium, misitu, wanyama pori, ardhi nzuri, mito, maziwa, etc) tulizojaliwa katika nchi hii? Mnadhani kwamba bado CCM wanao uhalali wa kuendelea kubaki madarakani kwa mtaji wa umbumbumbu wa wapiga kura, hasa wa vijijini? Tutajieni mafanikio ya CCM ili tupate kuishabikia sio mnashabikia vyama kama mnavyoshabikia mpira (e.g Yanga & Simba).

Ushabiki wa kisiasa ni tofauti na ushabiki wa mpira. Ukishabikia timu mbovu (Yanga au Simba) hata ikishuka daraja hutapata hasara yoyote. Lakini ukishabikia chama cha mafisadi, kisha wakazidi kuifilisi nchi zaidi na kuitumbukiza nchi kwenye umaskini wa kutupwa, sio tu kwamba hautakuwa salama, lakini hata pia jamii yako yote itaangamia sawia. Kumbuka kwamba uchumi wa Tanzania miaka ya 60 ulikuwa sawa na wa nchi kama Malaysia, Thailand, Indonesia, Bangladesh na nchi nyingine nyingi za mashariki ya mbali na kati.

Kwa miaka zaidi ya 50 ambayo CCM imeongoza nchi hii, wamefanikiwa kuimasikinisha nchi hadi kushika nafasi ya 3 kwa umasikini duniani, mbele ya Afaghanstan na Somalia, nchi ambazo zimetopea kwenye vita kwa miaka mingi. Igekuwa hizo nchi hazimo kwenye vita, Tanzania ingekuwa ya kwanza kwa umaskini, pamoja na utajiri wa rasilimali tulizo nao. Je, mnaoshabikia CCM hayo ndiyo maendeleo mnayotambia? Kuweni nyie, msishabikie siasa kama mpira wa miguu. Nyie hamjui jinsi gani hizi siasa za kifisadi za CCM zilivyotufikisha hapa tulipo?

Tunawataka wanaCCM watuambie CCM na serikali yake wameifanyia nini nchi hii tangu waingie madarakani mwaka 1961, sio kutuimbia ngonjera ambazo hazina kiitikio. Kama mnataka kutuaminisha kwamba CCM ni chama cha wanyonge (wakulima na wafanyakazi) kama sera zake zinavyopambanua na kama alama zilizoko kwenye benedera ya chama zinavyoonyesha, mnapaswa kusimama hadharani mtuambie kuliko kuendelea kupayuka, kama vyura wa masika kwenye dimbwi la maji, bila kutoa ufafanuzi yakinifu. Itikadi ya chama inakataza wanaCCM kutopokea rushwa wala kujitajirisha kifisadi.

Ibukeni muitetee hiyo hoja kwa mifano hai na kwa umakini. Teteeni kwamba CCM SIO CHAMA CHA KIFISADI kwa sababu A, B, C, n.k. Sio mnajificha kwenye vichaka halafu mnaitupia mawe CHADEMA mkiwa mafichoni. Kwa kufanya hivyo mnadhihirisha kwamba ama hamjui sera ya chama chenu au hamjui malengo na sera ya chama chenu ni yapi. Mnajiendea tu kama jongoo; tena afadhali jongoo ana antennae/feelers zinazomsaidia kupambanua stimuli kwenye soroundings!
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1371360729815.jpg
    uploadfromtaptalk1371360729815.jpg
    24.6 KB · Views: 256
mmetujia na viatu sasa tisht na kofia hazitoshi, mtuletee na suruali na pensi...magamba bwana
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1371360911646.jpg
    uploadfromtaptalk1371360911646.jpg
    51.6 KB · Views: 229
Amini usiamini ili kuishabikia ccm lazima uwe na moyo zaidi ya mwendawazimu. Vinginevyo....!! Haina cha kutueleza zaidi ya kutuweka watumwa kwenye nci yetu.
 
Naomba nikushawishi ili ujiunge na ccm, kwanza ccm imejenga ikulu pale magogoni! Pili ccm ina mapolis ambao wana isaidia ccm na wanaccm ili kufanya dili mbalimbali kama kuuza meno ya tembo nk. Kuliko ukiwa upinzani! Tatu ccm hugawa pesa wakati wa uchaguzi maarufu kama takrima, kuliko wapinzani. Pia ccm wana usalama wa taifa wakati upinzani hawana huo usalama! Pia ccm wana wakuu wa mikoa na wilaya ambao wana ilinda ccm vizuri, faida yk ni kuwa unaweza ukashinda uchaguzi hata kama wananchi hawakukuchagua! Karibu ujiunge na ccm, chukua chako mapema!
 
Chezea ccm Weye!
Na bado bila kufanya jitihada za dhati kuing'oa ccm itatuacha masikini kabisa vizazi hadi vizazi. Mwenyezi Mungu atuepushe
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1371366255854.jpg
    uploadfromtaptalk1371366255854.jpg
    39.2 KB · Views: 204
We mtoa mada katiane na manyani huko. Chama unachokifuata wewe kimekufanyia nini. Watanzania sio mambumbu wanajua ccm imeshindwa na upinzani uwezo ni mdogo. Wht hapend in Arusha z politics hakuna cha ccm wanasiasa wote mko responsbl kwasbb siasa zenu za kishenzi tunazijua all politicians. Poleni watanzania
 
Chezea ccm Weye!
Na bado bila kufanya jitihada za dhati kuing'oa ccm itatuacha masikini kabisa vizazi hadi vizazi. Mwenyezi Mungu atuepushe

mwambie mama ako hiyo kauli...gamba we, sura ka mwigulu chemba la mavi, magaidi nyie
 
We mtoa mada katiane na manyani huko. Chama unachokifuata wewe kimekufanyia nini. Watanzania sio mambumbu wanajua ccm imeshindwa na upinzani uwezo ni mdogo. Wht hapend in Arusha z politics hakuna cha ccm wanasiasa wote mko responsbl kwasbb siasa zenu za kishenzi tunazijua all politicians. Poleni watanzania

mwambie mama ako akatiane na nyani nchemba paka gaidi we...gamba mkubwa we....huna aibu
 
Amini usiamini ili kuishabikia ccm lazima uwe na moyo zaidi ya mwendawazimu. Vinginevyo....!! Haina cha kutueleza zaidi ya kutuweka watumwa kwenye nci yetu.

Huoni akili za akina Hammy-D na sour Radhia?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
kweli watu wana hasira naonamaccm wakisoma humu lazima washtuke 2015 hapata tosha
 
Enyi watu mliofungwa akili na pepo la CCM, je, hiyo CCM mnayoipigia debe imeiletea manufaa gani nchi hii kwa miaka zaidi ya 50 iliyokuwa madarakani, hasa mkizingatia wingi wa rasilimali (madini, gesi, mafuta, uranium, misitu, wanyama pori, ardhi nzuri, mito, maziwa, etc) tulizojaliwa katika nchi hii? Mnadhani kwamba bado CCM wanao uhalali wa kuendelea kubaki madarakani kwa mtaji wa umbumbumbu wa wapiga kura, hasa wa vijijini? Tutajieni mafanikio ya CCM ili tupate kuishabikia sio mnashabikia vyama kama mnavyoshabikia mpira (e.g Yanga & Simba).

Ushabiki wa kisiasa ni tofauti na ushabiki wa mpira. Ukishabikia timu mbovu (Yanga au Simba) hata ikishuka daraja hutapata hasara yoyote. Lakini ukishabikia chama cha mafisadi, kisha wakazidi kuifilisi nchi zaidi na kuitumbukiza nchi kwenye umaskini wa kutupwa, sio tu kwamba hautakuwa salama, lakini hata pia jamii yako yote itaangamia sawia. Kumbuka kwamba uchumi wa Tanzania miaka ya 60 ulikuwa sawa na wa nchi kama Malaysia, Thailand, Indonesia, Bangladesh na nchi nyingine nyingi za mashariki ya mbali na kati.

Kwa miaka zaidi ya 50 ambayo CCM imeongoza nchi hii, wamefanikiwa kuimasikinisha nchi hadi kushika nafasi ya 3 kwa umasikini duniani, mbele ya Afaghanstan na Somalia, nchi ambazo zimetopea kwenye vita kwa miaka mingi. Igekuwa hizo nchi hazimo kwenye vita, Tanzania ingekuwa ya kwanza kwa umaskini, pamoja na utajiri wa rasilimali tulizo nao. Je, mnaoshabikia CCM hayo ndiyo maendeleo mnayotambia? Kuweni nyie, msishabikie siasa kama mpira wa miguu. Nyie hamjui jinsi gani hizi siasa za kifisadi za CCM zilivyotufikisha hapa tulipo?

Tunawataka wanaCCM watuambie CCM na serikali yake wameifanyia nini nchi hii tangu waingie madarakani mwaka 1961, sio kutuimbia ngonjera ambazo hazina kiitikio. Kama mnataka kutuaminisha kwamba CCM ni chama cha wanyonge (wakulima na wafanyakazi) kama sera zake zinavyopambanua na kama alama zilizoko kwenye benedera ya chama zinavyoonyesha, mnapaswa kusimama hadharani mtuambie kuliko kuendelea kupayuka, kama vyura wa masika kwenye dimbwi la maji, bila kutoa ufafanuzi yakinifu. Itikadi ya chama inakataza wanaCCM kutopokea rushwa wala kujitajirisha kifisadi.

Ibukeni muitetee hiyo hoja kwa mifano hai na kwa umakini. Teteeni kwamba CCM SIO CHAMA CHA KIFISADI kwa sababu A, B, C, n.k. Sio mnajificha kwenye vichaka halafu mnaitupia mawe CHADEMA mkiwa mafichoni. Kwa kufanya hivyo mnadhihirisha kwamba ama hamjui sera ya chama chenu au hamjui malengo na sera ya chama chenu ni yapi. Mnajiendea tu kama jongoo; tena afadhali jongoo ana antennae/feelers zinazomsaidia kupambanua stimuli kwenye soroundings!

hao kwenye picha ni ng'ombe wa maziwa au waa2 na maccm yao
 
hii picha ni ukweli mtupu ndo maana tumekuwa watumwa kwenye nchi yetu. maccm ndo wameamua hata kuwauwa raia wake eti tuu kwa sababu ya mali na wakifa sijui wataenda na hizo mali au wataishi milele


Chezea ccm Weye!
Na bado bila kufanya jitihada za dhati kuing'oa ccm itatuacha masikini kabisa vizazi hadi vizazi. Mwenyezi Mungu atuepushe
 
attachment.php
attachment.php
attachment.php


Yan wameanza ivi tena?hawa ndo viti maalum sas,wakifika dodoma kinachofanyika ni nini?
 
Ipo siku hizi damu zitadaiwa kwenu kwa njia yoyote ile.Nyie fanyeni masihara na hii damu inayomwagika.
Mnataka afe rais,waziri nk ndio mjue kuwa ni mauaji? Wanafiki wakubwa nyie,mnasema Tanzania ina amani,amani gani hii watu wanakufa? Rais nchi imemshinda,hana uwezo wa kuongoza anatupeleka kwenye machafuko.
Najiuliza kwa nini ugaidi,udini na ukabila uwe katika kipindi chake? Huku yuko kimya,akizungumzia basi ni kulalamika,kitu ambacho katika uongozi ni DALILI ZA KUSHINDWA.
IPO SIKU,KWA MATUKIO KAMA HAYA NGUVU YA UMMA ITAPLAY PART KUPINGA HAYA YOTE,NA HUU NDIYO MWANZO WA MACHAFUKO.
 
Nataka nikujibu kama ifuatavyo,

URANIUM
Tanzania bado hatujaanza kuchimba uranium, na sera ya serikali kwa sasa ni 50% by 50%.Kwa hiyo ikitimizwa hiyo uranium itatunufaisha.
MAFUTA
Mpaka sasa Tanzania hukujapatikana mafuta.Usipende kusikiliza mambo ya mtaani, mpaka sasa hakuna mafuta yaliyogunduliwa.Ila kuna viashiria tu vya kuwepo mafuta na mojawapo ikiwa ni gesi iliyogunduliwa kwani principle ya mafuta na gesi inasema, penye mafuta pana gesi, lakini sio lazima penye gesi yawepo mafuta.
DHAHABU
Dhahabu Tanzania imeanza kuchimbwa kwa large scale miaka ya 2000.Kwa hiyo usifananishe south africa na Tanzania kwani S.Africa mining industry ina takribani miaka 200.Pili dhahabu ya Tanzania grade yake ni ndogo ukilinganisha na dhahabu za nchi nyingine.Mfano dhahabu ya Buzwagi, Resolute, Geita cut off grade yake ni chini ya 2g/t.Kwa hiyo na uzalishaji wake ni gharama kwani kinachozalishwa ni kidogo, ibidi uzalishe sana ili upate faida.Angalau kidogo grade ya bulyanhulu ni nzuri, ila ukumbuke gharama za uzalishaji za bulyanhulu ni kubwa zaidi kwani ule ni underground mine ambayo gharama yake ni kubwa.
GESI
Kuhusu gesi ni kwamba ndo kwanza imegunduliwa kwa wingi, kwa hiyo subiri uzalishaji ukianza ndo utoe malalamiko yako.Inayotumiwa na songas ni ndogo sana huwezi kulaumu kwa hili kwani production capacity yao bado ni ndogo
 
Back
Top Bottom