moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Niamini leo hii sitamani mwingine tena
Kazi zangu mishe mishe ntarudi nyumbani mapema
Unachonipa baby sitokaa nikuumize eeh
Na zile raha unazonipa wewe
Napenda unavyokata na kunipa taratibu
Mimi ni mgonjwa wewe ni doctor unanitibu
Nikikushika unanitazama unaona aibu
Wewe tabibu, unanipa rahaa.
Unavyokata na kunipa taratibu
Mimi ni mgonjwa wewe ni doctor unanitibu
Nikikushika unanitazama unaona aibu
Wewe tabibu, ni wewe
Usijefanya visa mimi na wivu
Na moyo utaniumiza mimi na wivu
Naogopa watakuteka mimi na wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu
Usijefanya visa mimi na wivu
Na moyo utaniumiza mimi na wivu
Naogopa watakuteka mimi na wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu
Naandika ngoma mapenzi nakuona wewe
Na vinanda vya bob vya bembeleza
Nishagoma kwingine…
Translate to English
Kazi zangu mishe mishe ntarudi nyumbani mapema
Unachonipa baby sitokaa nikuumize eeh
Na zile raha unazonipa wewe
Napenda unavyokata na kunipa taratibu
Mimi ni mgonjwa wewe ni doctor unanitibu
Nikikushika unanitazama unaona aibu
Wewe tabibu, unanipa rahaa.
Unavyokata na kunipa taratibu
Mimi ni mgonjwa wewe ni doctor unanitibu
Nikikushika unanitazama unaona aibu
Wewe tabibu, ni wewe
Usijefanya visa mimi na wivu
Na moyo utaniumiza mimi na wivu
Naogopa watakuteka mimi na wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu
Usijefanya visa mimi na wivu
Na moyo utaniumiza mimi na wivu
Naogopa watakuteka mimi na wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu
Naandika ngoma mapenzi nakuona wewe
Na vinanda vya bob vya bembeleza
Nishagoma kwingine…
Translate to English