Napenda sana wanawake wasio rika langu

JOH CARLOS

JF-Expert Member
May 13, 2016
576
268
Habari za saa hizi JF,

Mimi ni kijana wa miaka 23, katika maisha yangu huwa navutiwa sana na wadada wakubwa walionizid umri sana.

Kitendo hichi kimenifanya niwe na mtoto wa miezi minne na binti ambaye kamzidi hadi dada yangu wa kwanza umri, hata nyumban napata wasiwasi wa kumpeleka.

Naombeni mawazo yenu juu ya hili.
 
Una hela/ kazi??? Kama zpo hainaga tabu hapo umri ni namba tu,,,, ila watot watakuita KAKA sijui!!!, na kama huna kazi / hela yaan unalelewa ata mi ngekushangaa na umarioo wako huko kwenu sijui ungetafsiriwaje?
 
Wanaume wenzako wote huwa tunavutiwa na mabinti wadogo kwa kufuata ile kanuni inayotawala kila kichwa cha mwanaume ISEMAYO Chukua umri wako kisha gawanya kwa mbili, kisha jibu utakalopata jumlisha kwa saba, jibu utakalopata basi mwanamke mwenye umri kama huo lazima uvutiwe nae ( let say umri wako ni 20, ukigawa kwa mbili inakuwa 10, ukijumlisha saba inakuwa 17... Basi huo ndio umri wa wasichana utakaovutiwa nao
 
Una hela/ kazi??? Kama zpo hainaga tabu hapo umri ni namba tu,,,, ila watot watakuita KAKA sijui!!!, na kama huna kazi / hela yaan unalelewa ata mi ngekushangaa na umarioo wako huko kwenu sijui ungetafsiriwaje?
sina ela wala sina kaz mm ni mwanafunzi
 
Wanaume wenzako wote huwa tunavutiwa na mabinti wadogo kwa kufuata ile kanuni inayotawala kila kichwa cha mwanaume ISEMAYO Chukua umri wako kisha gawanya kwa mbili, kisha jibu utakalopata jumlisha kwa saba, jibu utakalopata basi mwanamke mwenye umri kama huo lazima uvutiwe nae ( let say umri wako ni 20, ukigawa kwa mbili inakuwa 10, ukijumlisha saba inakuwa 17... Basi huo ndio umri wa wasichana utakaovutiwa nao

ni kwamba toka nmeanza kuwa na mausiano na wasichana wote wamenizid si chini ya miaka minne
 
Wanaume wenzako wote huwa tunavutiwa na mabinti wadogo kwa kufuata ile kanuni inayotawala kila kichwa cha mwanaume ISEMAYO Chukua umri wako kisha gawanya kwa mbili, kisha jibu utakalopata jumlisha kwa saba, jibu utakalopata basi mwanamke mwenye umri kama huo lazima uvutiwe nae ( let say umri wako ni 20, ukigawa kwa mbili inakuwa 10, ukijumlisha saba inakuwa 17... Basi huo ndio umri wa wasichana utakaovutiwa nao
mmmmhhh!!!,hiyo kanuni si dhani kama inaweza kutumika wakati wote.Kupenda ni Kipenda Roho.
 
Habari za saa hizi JF,

Mimi ni kijana wa miaka 23, katika maisha yangu huwa navutiwa sana na wadada wakubwa walionizid umri sana.

Kitendo hichi kimenifanya niwe na mtoto wa miezi minne na binti ambaye kamzidi hadi dada yangu wa kwanza umri, hata nyumban napata wasiwasi wa kumpeleka.

Naombeni mawazo yenu juu ya hili.
Kwa hiyo hata mabibi unawabeba??.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom