Napenda sana Utangazaji wa Habari wa Mtangazaji Harris Kapiga wa Clouds tv

Yaani mkuu kuna watu wanajipambanua kama Wakristo lakini matendo yao...!

Eti mtu kama huyu ni mchungaji.

Alafu Mtu Yeyote anapotuambia Ameokoka halafu anafanya kazi kwenye vyombo vya habari visivyo vya kidini nashindwa kumwelewa kwa sababu moja ya athari za hizi media ni kuharibu maadili ni sawa na kupingana na Imani yako! Mwenyewe!

Kuna wengine wako east Afrika radio nao wanajipambanua eti wameokoka kwenye vipindi vyao tu nyimbo wanaopiga ni sawa na disko.

Watu wamejaa unafiki wa kidini!

Nauliza usipouza dawa za kulevya hakuna shughuli nyingine itakayokulipa vizuri?

Sent from my using JamiiForums mobile ap
Swali lako hapa mwishoni ni zuri sana. Labda utajibiwa humu Mkuu.
 
  1. Anatangaza huku anatabasamu na sometime anacheka cheka
  2. Anatangaza huku kila mara akiwa anachezea chezea Kalamu yake
  3. Anatangaza huku kila mara akiwa ' anachomekea ' maneno yasiyoendana na Habari husika
  4. Anatangaza huku sometimes akiwa ' anatuhubiria ' pengine akijua wengi wetu ' tunaomkodolea ' tuna dhambi za ' Kutukuka '.
  5. Anatangaza huku mara zingine akitupa ushauri nasaha
  6. Anatangaza huku mara zingine ' anatubinyia ' macho ' Watazamaji ' wake hali ambayo kiukweli hutuvitia sana hasa sisi ' Watazamaji ' wake wa Kiume.
  7. Anatangaza huku mara nyingi akiwasifu mno wale waliopo ' Madarakani ' wa Lumumba street na kuwaponda wale wa ' Biafra ' street.
Hongera sana Mtangazaji Harris Kapiga na ' Binafsi ' huwa unanivutia sana na endelea hivyo hivyo Mtu wangu kwani unapatia na upo vizuri kuliko Watangazaji wote ninaowajua ' duniani '. Pia pongezi kubwa ziende kwa Uongozi mzima wa CMG ( Clouds Media Group ) kwa kuwa ' Wabunifu ' na kutuletea huyu ' Mtangazi ' ambaye naamini mpaka sasa lazima tu atakuwa amewavutia wengi kutazama taarifa zenu za Habari.

Niwaombe tu ' Watangazaji ' wengine wote wa ' Luninga ' nchini Tanzania muweze ' Kumuiga ' huyu ' Mtangazaji ' mwenzenu Harris Kapiga.

Nawasilisha.
kile anachofanya Haris sio utangazaji, ni kama movie, badala ya kutupatia kile kilichojili, yeye huleta yaliyoko kichwani kwake na yale anayofikiri. lakini simlaumu, watangazaji wengi wa clouds tv wako hivyo, wana maneno ya kimbeaaa, wanaumba taarifa za habari, sio taarifa halisi ni imechakachuliwa kwa kuingiziwa maneno yasiyo na umuhimu kabisa. wajifunze kwa wenzao wanatangazaje. inakera hadi unabadilisha stesheni.
 
Nasikia jamaa yupo kwenye kundi la Ladies &Gentlemen..... Watoto wa Sinza wengi wanajua hili.. Ni kweli lakn au.!?

Hahaaaaa we utakua mkongwe wa Sinza.

Uhusiano wake na Mzee Mataka vipi?? Wana undugu?
 
Binafsi nikimkuta nabadili channel fasta ananikera sipendi anavyotangaza.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
sio yy tu kwao wavulana wote mambo safi bad enough,sijui luck enough na mwanae wa kiume ana mambo kama ya baba ake.hk anajuaa kunanganiaa akimpenda mtu balaaa muonenini tu vile..!
Kiongozi unamaanisha nn huyu jamaa kumuita mambo safi mpaka vijana wengine wakiume wa kwao pia duuuu itakua huyu jamaa noma sana watu mnamfahamu kwa undani zaidi?
 
yaah yuko vizuri kwakweli.. mi napenda kwenye kile kipindi cha Terminal akiwa na lilian mwasha
 
Kiongozi unamaanisha nn huyu jamaa kumuita mambo safi mpaka vijana wengine wakiume wa kwao pia duuuu itakua huyu jamaa noma sana watu mnamfahamu kwa undani zaidi?
hahaha elewaa hivy hivyo mkuu wote mambo safi ushindwe ww tu
 
Moja ya sababu inayonifanya nisiangalie habar Clouds Tv ni huyu jamaaa....simwelewi kabisa mambo yake.aaaaagh
 
Sasa wote wakimuiga wakitangaza kama yeye itakuaje?? Wesema tuu unampenda ila sisi wengne tunaona hajui lolote anatumiada mwingi kusoma habara, kwamimi Namkubali Charles Hilar

sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Teh teh bora nimwangalie bwana STANLEY GANZEL akitangaza kuliko huyu muhenga

Sent from my SAMSUNG-SM-G920A using JamiiForums mobile app
 
Mkuu moja ya kitu kinachonivutia ni namna unavyotumia sanaa ya lugha kufikisha ujumbe

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Kwangu mimi huyu haris kapiga wa clouds na yule Gabriel Zacharia utangazaji wao haunivutii.... moyo huwa unaenda mbio sana situlii habari sielewi... Watanisamehe ila ndio hivyo....waache papara

Mkuu Umeondoa Stress Zangu Zoote Tangu Utotoni.
Nimekatika Maini Kwa Comment Yako.
Tungekuwa Na Watu Wote Kama Wewe Kwa Kweli Kifo Kingepigwa Ban.
You Have Made My Day To Infinite Euphoria.
 
Back
Top Bottom