jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,730
- 2,798
Swali lako hapa mwishoni ni zuri sana. Labda utajibiwa humu Mkuu.Yaani mkuu kuna watu wanajipambanua kama Wakristo lakini matendo yao...!
Eti mtu kama huyu ni mchungaji.
Alafu Mtu Yeyote anapotuambia Ameokoka halafu anafanya kazi kwenye vyombo vya habari visivyo vya kidini nashindwa kumwelewa kwa sababu moja ya athari za hizi media ni kuharibu maadili ni sawa na kupingana na Imani yako! Mwenyewe!
Kuna wengine wako east Afrika radio nao wanajipambanua eti wameokoka kwenye vipindi vyao tu nyimbo wanaopiga ni sawa na disko.
Watu wamejaa unafiki wa kidini!
Nauliza usipouza dawa za kulevya hakuna shughuli nyingine itakayokulipa vizuri?
Sent from my using JamiiForums mobile ap