Napenda niwajue kwa undani wadudu wa baharini aina ya Sapalala

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,864
155,819
Sapalala ni wadudu wa baharini, kidogo wafanane na kamba kwa muonekano.

Wao wana rangi ya kahawia au kaki. Na wana miguu mingi midogomidogo.

Sapalala, nawaona sana kwenye ufukwe wa Msasani na naona Bei Yake ni rahisi kuliko kamba.
Ningependa kujua kwa Kingereza wanaitwaje, watu wa mataifa yepi huwapendelea kuwala nk.
118324924_3129758047147110_8597628142285312283_n.jpg
images (37).jpeg

Asanteni wajuzi
 
Hawa ndio prawns au kamba, Ni tofauti na sapalala
117803191_3129758130480435_9214425804489478799_o.jpg
Kweli kabisa ni tofauti, prawns wakubwa zaidi. Ila nadhani au sapala nishawala sehemu moja huko temeke kwa mama muuza miaka 2008 wakati nasoma Kibasila
 
Sapalala ni wadudu wa baharini, kidogo wafanane na kamba kwa muonekano.

Wao wana rangi ya kahawia au kaki. Na wana miguu mingi midogomidogo.

Sapalala, nawaona sana kwenye ufukwe wa Msasani na naona Bei Yake ni rahisi kuliko kamba.
Ningependa kujua kwa Kingereza wanaitwaje, watu wa mataifa yepi huwapendelea kuwala nk.
118324924_3129758047147110_8597628142285312283_n.jpg

Asanteni wajuzi
Mkuu,
Hawa siyo ukoo wa prawns kweli?

Hebu tuwekee picha ya prawn tuthubutu kulinganisha
 
Nimesearch maelezo ya picha yako google.

Mara ya kwanza nikaconclude hao ni shrimps.

Nikakumbuka umesema wanaweza kukua na kuwazidi kamba.

Nikakuta wenye uwezo huo ni giant tiger prawn.

Cheki hayo mawili utapata unachokusudia.
 
Una zungumzia prones aka mende wa babarini
Sapalala ni wadudu wa baharini, kidogo wafanane na kamba kwa muonekano.

Wao wana rangi ya kahawia au kaki. Na wana miguu mingi midogomidogo.

Sapalala, nawaona sana kwenye ufukwe wa Msasani na naona Bei Yake ni rahisi kuliko kamba.
Ningependa kujua kwa Kingereza wanaitwaje, watu wa mataifa yepi huwapendelea kuwala nk.
118324924_3129758047147110_8597628142285312283_n.jpg

Asanteni wajuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom